unatakiwa uelewe hao kinasykes unaodai wamepugania uhuru sijui nini....wote walikua wanamtegemea Nyerere...na bila Nyerere kua karibu na wazungu watawala kama Turnbull huo uhuru ungepatikanaje kirahisi.......sio useme eti sijui sykes, hakuna kitu ni connections za Nyerere ndo zilifanikisha.....wale wazee walikua wanampump tu....
Duh ama kweli umenipania. Nimekuwa Punguani shukran. Na Spear unamjua eeeh, mbona husemi mlikutana wapi? maajabu maana nakujua wapenda rangi sana haswa waarabu ya Mbatu toka lini?
Haya maneno! nakushangaa sana kufikia pale ulipofika hata miye basi...Mimi sii mgeni wa hivyo. Spear mdogo wangu namaliza shule yeye bado yuko form two na kina Golden hair, amekuja kanikuta. Japo sikuwa Saigon lakini nawajua toka kina Stone na Sisco tukijirusha na marehemu Marijan pale Princes bar, Kwa hiyo sii mgeni wa hivyo.Al Haj Spear nnamjuwa toka "kaja" na hajaanza kupiga picha mitaani. Umesahau kuwa customer wake wakubwa tulikuwa watu wa Kariakoo?
Hivi Dar ile ni nani wakuja wa siku hizo ambae hajapitia Kariakoo? Hata Nyerere, Mwinyi na Mkapa wote walianzia hukohuko Kariakoo.
Nyerere kwa akina Sykes.
Mwinyi akiishi nyumba ambayo kwa sasa ni baa bubu ya mtaa wa Livingston maarufu kama Pajero kwa kina besti.
Mkapa, duka la Abdul Malik na Amin chumba cha cha kupitia mlango wa uani, lipo mpaka leo mtaa wa Livingston.
Kariakoo ni moyo wa Dar kama si Tanzania.
Haya maneno! nakushangaa sana kufikia pale ulipofika hata miye basi...Mimi sii mgeni wa hivyo. Spear mdogo wangu namaliza shule yeye bado yuko form two na kina Golden hair, amekuja kanikuta. Japo sikuwa Saigon lakini nawajua toka kina Stone na Sisco tukijirusha na marehemu Marijan pale Princes bar, Kwa hiyo sii mgeni wa hivyo.
Duh wapi nilisema Saigon ni kituko? au umenichanganya maana siwezi kabisa nimecheza nao wengine Jugnu...Nnajuwa sana wewe si mgeni Dar na ni kijana wa mjini kabisa, lakini nnashangaa pale unapoiandika Saigon kama ni kituko, unantukania kaka zangu wa pale ukiandika kama ulivyoandika. Kile ni kijiwe cha enzi cha who is who in Dar.
Haka kadada huwa kamejawa na udini nafsini kwake jaribuni kupitia comments zake .....kama hautambui mchango na uzito wa Nyerere katika nchi hii na SADC kwa ujumla bhasi wewe si bure utakuwa mshirikina
Ndio maana nikauliza hivi wanawake wanaopigania haki zao huwa wamebeba bunduki? kuna usemi wa Martial art usemao - To Fight without fighting - unaujua...Mchangi wa Nyerere nnaukubali sana tena na uwezo wake nnautambuwa sana tena, ukisoma vizuri na ukichambuwa hoja utaona unaishia kwenye tuta. Kwanini tumsingizie mambo ambayo hajafanya?
Mfano tunamsingizia Kapigania" Unhuru wakati kila mtu anajuwa Nyerere alidai Uhuru. Kwanini tumpe sifa mbaya upiganaji?
Aisee Tindu Lissu ameanzisha mengi sana yamuhusuyo nyerere
Bado unanichanganya bibie, Post namba 153 ni wewe uloandika kumjibu @Uwongo=UmaskiniKajisome post yako namba 153 mstari namba 4.
Ni nini kile ulichoandika ukaihusisha Saigon kama si kituko.
Nukuu...Mchango wa Nyerere nnaukubali sana tena na uwezo wake nnautambuwa sana tena sana, ukisoma vizuri na ukichambuwa hoja utaona unaishia kwenye tuta. Kwanini tumsingizie mambo ambayo hajafanya?
Mfano tunamsingizia Kapigania" Uhuru wakati kila mtu anajuwa Nyerere alidai Uhuru. Kwanini tumpe sifa mbaya ya upiganaji?
Bado unanichanganya bibie, Post namba 153 ni wewe uloandika kumjibu @Uwongo=Umaskini
Nanukuu maneno yako:- "Uwezo na akili" yangu unakutia wasiwasi wewe? Makubwa haya jamani.
Mimi nnadhani wasiwasi wako ndiyo maradhi yako" mwisho wa nukuu
Au jisome hapa
Ndio maana nikauliza hivi wanawake wanaopigania haki zao huwa wamebeba bunduki? kuna usemi wa Martial art usemao - To Fight without fighting - unaujua...
Ajuza anaendeshwa na hisia za udini. Nyerere alishinda kuifanya Tanganyika nchi ya raia wa dini zote, ajuza anaona ilipaswa kuwa nchi ya Waislamu.
Kama kuna mpumbavu no 1, duniani ni Tundu Lisu kwa kumzalilisha Nyerere,na dhambi hiyo itamtafuna hadi kifo chake,lkn hatambue kuwa mataputapu yake ya sheria kamwe hayatamsaidia na kamwe historia aliyoiandika duniani hakuna wa kuifikia .
Mjinga mmoja lisu ndo alitoa mataputapu hayo kwa watu akijaribu kumzalilisha baba wa taifa.