FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
- Thread starter
- #61
Nyerere alikuwa na vision kali sana juu ya taifa hili,alitaka kujenga taifa linalojitegemea kiuchumi.Aliasisi sera na mipango mikskati mingi ya kimaendeleo ktk kuhakikisha kuwa vision yake inatimia.Alianzisha viwanda vingi,ndio kuna makosa ya kisera yalifanyika ktk kuvisimamia viwanda hivi ikiwemo kosa la kufungua matawi ya chama tawala ktk viwanda hivi na kusababisha siasa kuingiliana na utaalamu ktk sekta ya viwanda.Nyinyi mliofuatia mkaona suluhu ni kuwauzia wageni hivi viwanda tena kwa bei ya kutupa kumbe mliwauzia matapeli waliotaka kuvitumia viwanda na mashirika ya umma kujipatia fedha za mkopo IMF na WB kisha kuingia nazo mitini.Mmeshindwa kuiendeleza SIDO na VETA kwa kuvifanya injini ya mapinduzi ya viwanda na teknolojia sasa mmebaki kutembeza mabakuli ya kuombea fedha za kufadhili miradi mbalimbali hapa nchini. Misingi yote muhimu ya kiuchumi mmeua,halafu bado mnamlaumu Nyerere. Hawa unaowasifia tayari wameshaturudisha kwenye ukoloni mambo leo.
Na hiyo ina "fall" wapi katika masingizio saba niliyoyaweka?
Mimi ningefurahi ungeanza na namba moja tuijadili halafu twende namba mbili, for the record.