Nyerere alisingiziwa mengi sana

Nyerere alisingiziwa mengi sana

10.Wanasema eti utawala wa Nyerere haukuwa na madeni makubwa,si kweli kwani utawala wake uliandamwa na madeni lukuki na tawala zilizofuatia ndizo zilizopunguza madeni ya taifa hasa utawala wa Kikwete.

Hili halitaji elimu ya chuo kikuu kujibu u.p.u.z.i kama huu. Ebu tuambie Kikwete kapunguza deni la taifa kwa kiasi gani? Nadhani hapo ulipo moyo wako umejaa chuki, fitina, uhasama na visasi juu ya utawala wa viongozi wa dini fulani. Maana post zako zote unamsifia Mwinyi na Kikwete. Ndugu yangu usiwe mtumwa wa kifikra na kimawazo maisha yenyewe mafupi ishi kwa upendo uwe na amani moyoni mwako.
 
Hili halitaji elimu ya chuo kikuu kujibu u.p.u.z.i kama huu. Ebu tuambie Kikwete kapunguza deni la taifa kwa kiasi gani? Nadhani hapo ulipo moyo wako umejaa chuki, fitina, uhasama na visasi juu ya utawala wa viongozi wa dini fulani. Maana post zako zote unamsifia Mwinyi na Kikwete. Ndugu yangu usiwe mtumwa wa kifikra na kimawazo maisha yenyewe mafupi ishi kwa upendo uwe na amani moyoni mwako.

Mkuu nahisi hukumpata TEKNOLOJIA. Kaandika kinyume kwa Mfumo wa kejeli.
 
Hata Idd Amin kasingiziwa mengi sana.
1. Kwamba alikuwa anakula nyama za watu na sikweli.
2. Alikuwa dikteta wala sikweli.
3. Kwamba alikuwa akiona mwanamke akampenda anamchukuwa kumfanya mke wake wala sikweli.
 
Naona baada ya profile ya mwana wa JKN kushushwa hadharani sasa wale anti Nyerere na wafuasi sugu wa ile mitandao ya mkono uende kinywani katika mbio za urais wameanza kuweweseka. Poleni.
 
FaizaFoxy

Tunaendelea
8. Walimsingizia eti alizilinda rasilimàli za taifa (madini),si kweli kwani madini yote aliwagawia Wazungu na akina Mwinyi ndio waliorudisha hizi rasilimali mikononi mwa Watanzani.

9.Wanasema aliasisi sera za uchumi wa kujitegemea kwa kuanzisha viwanda vingi kwa msaada wa washirika wake mataifa ya kijamaa (China,Cuba,USSR), si kweli hakuna kiwanda chochote kilichojengwa enzi za utawala wake kwani viwanda vimejengwa enzi za akina Mwinyi.

10.Wanasema eti utawala wa Nyerere haukuwa na madeni makubwa,si kweli kwani utawala wake uliandamwa na madeni lukuki na tawala zilizofuatia ndizo zilizopunguza madeni ya taifa hasa utawala wa Kikwete.

11. Wanasema kuwa alikuwa mkabila ndio maana idadi kubwa jeshini na polisi ilikuwa ni wakurya, si kweli ndio maana neno "arro" linaonekana ni la kipolisi.
 
Last edited by a moderator:
Nyerere hakupenda wasomi wazalendo na pia aliwanyima fursa watz kujua mambo ya dunia
 
Unalalamika Nyerere anasingiziwa halafu na wewe unaendelea kumsingizia.. Madam buana.!!!!
 
Naona hauelewi kuwa Nyerere alishapinduliwa na ujumbe ukapelekwa kwa U Thans, aliyekuwa mkuu wa Umoja wa Mataifa wakati huo. Na aliyeyageuza mpinduzi hayo na aliyemuokoa Nyerere na utawala wake ni kati ya hao wajaa "laana".

Unalijuwa hilo?

Nimefurahi kuwa hujakataa kusingiziwa huko kwa Nyerere.

Kwa hiyo wewe unaunga Mkono waliokuwa wanataka kuipundua Serikali halali ya Tanzania!!!!!.Naanza kupata Picha kwa nini huwa unatetea sana watuhumiwa wa Ugaidi.
 
Kumbuka ndani ya CCM kuna makundi makuu mawili, CCM imani na CCM maslahi.

Ni kweli kabisa,Huyu FaizaFoxy hujitia kuitetea CCM huku akimponda Nyerere wakati CCM ya sasa inaishi kwa kutegemea Kura za Wazee walioingizwa CCM na Nyerere.Yeye Ajenda zake ni Udini,Ukabila,Kumponda Nyerere na Utetezi wa Magaidi.Kwa kweli CCM ya sasa imejazwa na CCM Maslahi kuliko CCM Asili kama asemavyo Jaji Warioba.
 
ukatoliki wa nyerere unamumiza sana FaizaFoxy nimeamini muilsamu mzuri ni yule aliyekufa tu kama ajuza FF katika miaka yake ya mwisho bado anahangaika na jihad ya maneno shida sana.
 
Last edited by a moderator:
FaizaFoxy bado tunazisoma uzi zako ambazo huwa unashadadia hiki harafu kinafanya kinyume chake, hivi huna aibu hata kidogo.

Tibaijuka hawezi kufukuzwa, kafukuzwa, Muhongo hawezi kufukuzwa kafukuzwa, ESCROW ni hela za mtu binafsi, kumbe za UMMA hadi watu wanafiukuzwa, Katiba kura ya Maoni iko pale pale 30 April, imepita, CCM eti ni chama kubwa Mgombea uraisi atajulikana miezi 6 kabla ya Uchaguzi, sasa imebaki 4 hakuna kitu.

Sasa umekuja na uzi wako kwa kijinga kama zile zilizopitaaaa, subiri utapata majibu unayostahili.
 
Nashawishika kukuhesabu faizyfoxy kwenye orodha ya taahira hapa JF, kila unachosema kinakuwa sio na bado unajaribu kkubahatisha, maisha kubahatisha bahatisha sio, wenzako wakiandika hapa wanakuwa na full story ya mambo. Nikukumbushe tena, ulisema CHADEMA haiwezi kumfukuza ZZK, yuko wapi leo??? samahani nikikuita taahira ninasababu lukuki
 
Lakini kikubwa Nyerere alikuwa na vision ya mbali kitu ambacho hamna kiongozi anaweza boost sasa hivi.His ideas were ahead of the time for Then Tanganyika but still very valid to date.
 
Hili halitaji elimu ya chuo kikuu kujibu u.p.u.z.i kama huu. Ebu tuambie Kikwete kapunguza deni la taifa kwa kiasi gani? Nadhani hapo ulipo moyo wako umejaa chuki, fitina, uhasama na visasi juu ya utawala wa viongozi wa dini fulani. Maana post zako zote unamsifia Mwinyi na Kikwete. Ndugu yangu usiwe mtumwa wa kifikra na kimawazo maisha yenyewe mafupi ishi kwa upendo uwe na amani moyoni mwako.

Mkuu, hujamuelewa , anamdhihaki FaizaFoxy kwa kumpa ulinganifu wa facts. Siyo kwamba na yeye ana mtazamo wa huyu mama.
 
Back
Top Bottom