Nyerere alisingiziwa mengi sana

Nyerere alisingiziwa mengi sana

Siafiki kabisa post yako hii mama,.
Ngoja nijaribu kujibu.
1. Kupigania uhuru si lazima kwa silaha kuna direct struggle na indirect struggle au hujui?

2. Ni miongoni mwa waasisi wa TANU

3. Lengo ni kutaka nguvu ya pamoja. Au wewe hata wahenga huwaamini? Umoja ni nguvu walishasemaga.

Katibu mmoja tu ambaye ni kama rafiki yake ndio shida? vipi mawaziri aliowateua si kwa kuwa aliwaamini?

5.Daktari si lazima atibu au asome sayansi,. Wapo PHD holders wa fani mbalimbali wewe unawaitaje?
DR. Mwakyembe amesoma sayansi?, marehem Dr. Mvungi vipi?
Upo pia udaktari wa heshima. Dr. Jakaya Kikwete.

6. Mitume wa Mwenyezi Mungu hutafutwa wauwawe zaidi kuliko hata wakina Gwajima.
Kuuwawa kwa Abraham Lincolin, J.F.Kennedy kasome. si kwakuwa walichukiwa kuliko Obama au Bush

7. Leta ushahidi maana dai lako ni kubwa au kasome law of evidence
Ni juzi tu mwanasheria wa J. Kaseja amesema ofisi yake iliteketea kwa moto pamoja na nyaraka zote mbona hukuja hapa kutuambia aliyeiba nyaraka za zilizohusu kesi ya Kaseja na Yanga?
 
Nimekwambia Wakristo wote ni wamoja kwa sababu wanafundishwa UPENDO,KUSAMEHE na KUSAIDIA WENYE MAHITAJI.Wote wanatumia Biblia ambayo Amri kuu yake ni UPENDO.Wakristo wote hawataki Ubaguzi ndio maana wote kwa Umoja wao waliipinga Mahakama ya Kadhi maana ilikuwa ni hatari kwa Umoja na Upendo wa Taifa.Kikwete Mwenyewe huwa anasema Kanisa limemsaidia sana kufika hapo alipo.

Mnafundisha UPENDO kwa Lugha gani?

Mapadri wanapiga mimba Wanakondoo Ovyo!
Viongozi wenu wanaishi maisha Ya juu km Celebrity wakati Kondoo wengi hata hela ya kula Hawana!
Ndoa za Kiliberali na udhalilishaji wa watoto Ndio Usiseme tena makanisani DUNIANI KOTE.

Hata Hilo Andiko Unalojidai Linafundisha UPENDO ni UONGO na USANII MTUPU.!

Upendo wenu Sio Upendo Unaotambulika Na Binaadamu Wengine bali kwa watu wengi wasio nyie ni UCHAFU na Uharibifu Wa Maadili Ya Jamii Uliopita Kiasi.

Km Kufanya Uchafu Huo Ndiko unakokuita Upendo Basi Tafsiri ya Upendo PAULO kaichakachua!
Tafuta Maana halisi ya UPENDO Halafu tazama Matendo yenu Uone km Vinakwenda Sambamba.
 
Kuwafundisha watoto mliozaliwa Juzi historia ni kazi kubwa.

Akiamua Kuchukua Nyumba yako na mali yako Hakuna wa Kumzuia?

Yule alikuwa Beberu Mkuu lkn akidanganya watu kuwa ni Mjamaa!

Alitoa amri wananchi wavunjiwe nyumba zao na kuhamishiwa maporini hali ya kuwa yeye yuko Butiama anakula bata na mkewe maria.
Leo hii wanatokea Watoto wadogo km wewe kutetea msioyajua.

Waulizeni wazee wenu watakwambieni km ni wakweli.

Nimekuuliza swali dogo ilikujua unayoyazungumza!
Mwinyi kawarudishia mali waathirka wa Nyerere je kazitoa Serikalini hizo mali au kazifuata Butiama.

Au pengine hujanielewa .Je Nyerere hizo mali kapeleka Butiama nyumbani kwake au Msasani alikokuwa akiishi?
Je hizo mali alizowapora ziko wapi?

La vijiji vya Ujamaa nadhani imeelezwa mara kibao na huna haja ya kurudia sana! Hata kwa Elimu yangu ya Kata naweza kuelewa uhalisia-kwamba zoezi iliingia mdudu mtu.

Sasa sijui maana tuna tofautiana kimtazamo.
Chukua Mfano huu labda tutaelewana .Kwa hiyo unataka lawama miaka nenda rudi tumbebeshe Raisi Kikwete siyo maana ni Serikali yake ndiyo iliyokuwa ikitimiza wajibu.

 
Mtoto wa kiume na maneno ya mipasho haipendezi.
Mnaporomosha maadili ya jamii kwa kuiga wanawake.
Hebu kakamaa kidogo we mbwega usije konyezwa na Kakende ukarusha ngumi.

Ehee, wewe mtu bado upo? nilidhani wewe ni mmoja wa wale waliokamatwa wakiwa wameficha Mabomu na Mabunduki Msikitini huko Morogoro tayari kwa ajili ya kutekeleza Ibada Mliyofundishwa Mwamedi mtume wa Allah?
 
Hadi hapa hakuna lolote ambalo umefanikiwa kuonesha kuwa alisingiziwa. Labda uje na orodha mpya tuione.
Labda Faiza Foxy kasahau kuwa Mwalimu Nyerere alisingiziwa kuwa alikieneza Kiswahili toka Zanzibar hadi Butiama
:- Na asingekuwa Nyerere basi Kiarabu kingekuwa Lugha ya Taifa hadi Butiama
 
Mnafundisha UPENDO kwa Lugha gani?

Mapadri wanapiga mimba Wanakondoo Ovyo!
Viongozi wenu wanaishi maisha Ya juu km Celebrity wakati Kondoo wengi hata hela ya kula Hawana!
Ndoa za Kiliberali na udhalilishaji wa watoto Ndio Usiseme tena makanisani DUNIANI KOTE.

Hata Hilo Andiko Unalojidai Linafundisha UPENDO ni UONGO na USANII MTUPU.!

Upendo wenu Sio Upendo Unaotambulika Na Binaadamu Wengine bali kwa watu wengi wasio nyie ni UCHAFU na Uharibifu Wa Maadili Ya Jamii Uliopita Kiasi.

Km Kufanya Uchafu Huo Ndiko unakokuita Upendo Basi Tafsiri ya Upendo PAULO kaichakachua!
Tafuta Maana halisi ya UPENDO Halafu tazama Matendo yenu Uone km Vinakwenda Sambamba.

Hiyo dini uliyonayo bado haijakusaidia na haitakusaidia kuwa na Upendo wala Kuacha UWongo.Kuna wenzako hukasirika mpaka kujilipua.Nakushauri uje kwa Yesu maana utapata amani na Faraja ya Moyo.Chuki,Visasi na Kuona unaonewa kila siku mpaka na Marehemu vitakwisha. Utazidi kuumia sana kama usipomtambua Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wako kwa sababu yeye ni Mwamba.Hao wengine unaowaabudu wanamwogopa Yesu Kristo.Hebu Jaribu kumpokea Yesu uone Jinsi Moyo wako uatakavyokuwa na Amani.
 
Jitahidi umjue Kristo ili uwe na AMANI Moyoni Mwako.Yesu ni Upendo na Chemchem ya Amani na Utulivu.

Ngoja nimuulize Kristo mwenyewe je yeye ni UPENDO na AMANI?

Kristo Ananijibu hivi.

Mathayo 34:10
Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.-

Na nikilalamika kuwa mimi siUTAKI UKRISTO Andiko linasema

LUK 19:26

26..Nawaambia, Kila aliye na kitu atapewa, bali yule asiye na kitu atanyang'anywa hata alicho nacho.-
27-Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.-

Na Mwisho BIBILIA Inahimiza kuwa.
YEREMIA 48:10

Na alaaniwe mtu afanyaye kazi ya Bwana kwa ulegevu; na alaaniwe auzuiaye upanga wake usimwage damu.-

Hio Amani Na Upendo Mnaitafsiri Vipi KIKRISTO? Mbona Mnatuimbia kwaya Zisizo eleweka?
 
Huku zanzibar akitajwa mchonga meno watu husema laanatulah,laana za mwenyezi mungu zimshukie huko aliko.

Mungu wanaomwabudu hao Wazanzibar wanaojitahidi kumlaani Nyerere ni tofauti na aneyemwabudu Nyerere.Mungu anayeabudiwa na Nyerere hataki Mwanadamu alaani Mwenzake maana yeye ni Pendo.Kwa hiyo hizo Laana zao hazimwezi Nyerere na ndio maana Mchakato wa kumtangaza Mtakatifu unaendelea Vizuri.
 
Ehee, wewe mtu bado upo? nilidhani wewe ni mmoja wa wale waliokamatwa wakiwa wameficha Mabomu na Mabunduki Msikitini huko Morogoro tayari kwa ajili ya kutekeleza Ibada Mliyofundishwa Mwamedi mtume wa Allah?

Ngonjera Na mipasho Ni Fani zenu Wagalatia.
Tazama Jina Ulilochagua. Lina Reflect na busara zako.
Utaendelea Kudhani sana kapumbu manake waimba kwaya kwa kudhani ni moja ya Sifa zenu.
Nani anahaja ya kupiga bomu waliberali?
Hao wanaofunga ndoa za kishoga makanisani wameshakufa Long time.
Wamebaki kuzikwa tu.
 
Mnafundisha UPENDO kwa Lugha gani?

Mapadri wanapiga mimba Wanakondoo Ovyo!
Viongozi wenu wanaishi maisha Ya juu km Celebrity wakati Kondoo wengi hata hela ya kula Hawana!
Ndoa za Kiliberali na udhalilishaji wa watoto Ndio Usiseme tena makanisani DUNIANI KOTE.

Hata Hilo Andiko Unalojidai Linafundisha UPENDO ni UONGO na USANII MTUPU.!

Upendo wenu Sio Upendo Unaotambulika Na Binaadamu Wengine bali kwa watu wengi wasio nyie ni UCHAFU na Uharibifu Wa Maadili Ya Jamii Uliopita Kiasi.

Km Kufanya Uchafu Huo Ndiko unakokuita Upendo Basi Tafsiri ya Upendo PAULO kaichakachua!
Tafuta Maana halisi ya UPENDO Halafu tazama Matendo yenu Uone km Vinakwenda Sambamba.

Mwislam yeyote alieisoma michomo ya Paulo lazima amchukie, kwa huu mchomo lazima umchukie

Ukisoma Wagalatia 1:6-9. Paulo anasema ikitokea mtu yeyete, hata kama ni Malaika kutoka mbinguni akafundisha Injili tofauti na ile ya Kwenye Biblia basi mtu huyo alaaniwe, ni shetani.

Hii inamaanisha kuwa Injili ya Kwenye Quran imelaaniwa, na siyo kazi ya Mungu....bali ni kazi ya?
 
Ngoja nimuulize Kristo mwenyewe je yeye ni UPENDO na AMANI?

Kristo Ananijibu hivi.

Mathayo 34:10
Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.-

Na nikilalamika kuwa mimi siUTAKI UKRISTO Andiko linasema

LUK 19:26

26..Nawaambia, Kila aliye na kitu atapewa, bali yule asiye na kitu atanyang'anywa hata alicho nacho.-
27-Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa mwachinje mbele yangu.-

Na Mwisho BIBILIA Inahimiza kuwa.
YEREMIA 48:10

Na alaaniwe mtu afanyaye kazi ya Bwana kwa ulegevu; na alaaniwe auzuiaye upanga wake usimwage damu.-

Hio Amani Na Upendo Mnaitafsiri Vipi KIKRISTO? Mbona Mnatuimbia kwaya Zisizo eleweka?

Naam,Naona unasoma Kitabu Kitakatifu cha Mungu Biblia,hiyo ni hatua nzuri maana Nakuhakikishia kwa Yesu Kila Goti litapigwa.Kitendo cha kushika Biblia kinatia Moyo,Sasa unachotakiwa kufanya ni kwenda kwa Mchungaji ili akuombee na kukufafanulia hayo uliyoyasoma.Biblia haisomwi kama Novel.Nakuhakikishia utapata Amani na Furaha Moyoni mwako na Utashangaa kwa nini watu wanakuwa Magaidi.
 
Nani kakudanganya Kuwa Nyerere ndio Muasisi wa Taifa Hili?
Vijana Mnatutia aibu Kuandika Utumbo jukwaani.

Wanasaikolojia wanasema mwanadamu yeyote ujengwa akiwa mdogo. Mtu kama wewe, na FaizaFoxy, Mkiwa watoto wadogo kabisa mlipitishwa kwenye chuko cha chuki, chuo cha kuzalisha Magaidi ( a.k.a Madrasa) ni vigumu sana mkawa na Upendo. Imagine wewe ukiwa na miaka 4 unaambiwa fulani ni Kafirr, ni adui ya Uislam, unategemea nini?. Matokeo yake ni kama Yule kijana wa Kiislam kutoka TZ aliekamatwa Garisa baada ya kushindwa kujiripua
 
Ngonjera Na mipasho Ni Fani zenu Wagalatia.
Tazama Jina Ulilochagua. Lina Reflect na busara zako.
Utaendelea Kudhani sana kapumbu manake waimba kwaya kwa kudhani ni moja ya Sifa zenu.
Nani anahaja ya kupiga bomu waliberali?
Hao wanaofunga ndoa za kishoga makanisani wameshakufa Long time.
Wamebaki kuzikwa tu.

Maalim nakusoma tariiiiiiiib
 
Naam,Naona unasoma Kitabu Kitakatifu cha Mungu Biblia,hiyo ni hatua nzuri maana Nakuhakikishia kwa Yesu Kila Goti litapigwa.Kitendo cha kushika Biblia kinatia Moyo,Sasa unachotakiwa kufanya ni kwenda kwa Mchungaji ili akuombee na kukufafanulia hayo uliyoyasoma.Biblia haisomwi kama Novel.Nakuhakikishia utapata Amani na Furaha Moyoni mwako na Utashangaa kwa nini watu wanakuwa Magaidi.

Maombi km haya au?

View attachment 250783

View attachment 250784

View attachment 250785
 
Mwislam yeyote alieisoma michomo ya Paulo lazima amchukie, kwa huu mchomo lazima umchukie

Ukisoma Wagalatia 1:6-9. Paulo anasema ikitokea mtu yeyete, hata kama ni Malaika kutoka mbinguni akafundisha Injili tofauti na ile ya Kwenye Biblia basi mtu huyo alaaniwe, ni shetani.

Hii inamaanisha kuwa Injili ya Kwenye Quran imelaaniwa, na siyo kazi ya Mungu....bali ni kazi ya?

Naam,hawa Jamaa ni ndugu zetu,tuwafundishe Polepole na kwa Upendo watarejea na kuwa watu wema.Wataacha Chuki na Malalamiko.Tatizo lipo kwenye Malezi ya Utotoni,Yaani walilelewa kwa Misingi kwamba wanaonewa.Kazi yetu iwe ni kuwajengea Moyo wa kujiamini kwamba wanaweza kuishi kwa amani na Upendo bila kuwezeshwa.
 
Naam,Naona unasoma Kitabu Kitakatifu cha Mungu Biblia,hiyo ni hatua nzuri maana Nakuhakikishia kwa Yesu Kila Goti litapigwa.Kitendo cha kushika Biblia kinatia Moyo,Sasa unachotakiwa kufanya ni kwenda kwa Mchungaji ili akuombee na kukufafanulia hayo uliyoyasoma.Biblia haisomwi kama Novel.Nakuhakikishia utapata Amani na Furaha Moyoni mwako na Utashangaa kwa nini watu wanakuwa Magaidi.

kahtaan hawezi kubadilika tatizo ni ujumbe upi aliupokea akiwa mtoto, anahitaji counseling ambayo iko more advanced. Wewe umeona wapi watu wanaambiwa kuwa visasi ni sahihi halafu wakakubali?, Watu wanaambiwa Ua Kafirr uende akhera wanaona ni sahihi, Wanaambiwa Majini ni viumbe swafi wanakubali?, mtume wao anafanya mapenzi na mke wa mwanae, bado wanakubali, Quran inasema kuoa mwisho wake wanne lakini Kiongozi mkuu Mohammed anaoa zaidi ya wake 7 lakini wao wanasema ni kipenzi cha Mungu, Mohammed anaua Wakristo, wao wanaona ni sawa.

NB:Boko haram, Al shaabab, IS, reflects teachings from the Quran
 
Nani kakudanganya Kuwa Nyerere ndio Muasisi wa Taifa Hili?
Vijana Mnatutia aibu Kuandika Utumbo jukwaani.
Mkuu wangu hawa vijana mtihani sana huyo Nyerere kwa mara ya kwanza kukunyanga Dar es Salaam mwaka 1952 kapokelewa na wazee wetu wakampa hifadhi leo hii tena tunaambiwa yeye ndiyo muasisi wa taifa letu.

Kweli Nyerere kasingiziwa mengi sana.
 
Serikali kutoa mabilioni kwenda kwenye kanisa hilo halikwepeki. Hivi wewe ukijenga Hospitali zako halafu serikali ikasema inataka pia watu wake watibiwe kwenye hospitali hizo kwa bei nafuu, wewe utatoa bure?, je kama utasema Serikali nayo ichangie gharama utahitaji tena Serikali ijue unatumiaje/CAG?, kutumia si juu yako?. Mfano pale Muheza, kuna hospitali moja kubwa inaitwa Teule, hii ilijengwa na kanisa, lakini kama 85% ya wakazi wa Muheza ni Waislam, wanahudumiwa na hospitali hii, sasa kwanini serikali isitoe ruzuku watu wapate huduma.

Kuhusu Kikwete kuchukiwa na Mapadre sina uhakika sana maana asilimia kubwa ya Uzinduzi wa Project za Kanisa zimezinduliwa na Kikwete, sijui hiyo kama ndio definition ya kuchukiwa. Viongozi wa dini hawamchikii Kikwete bali bali wanamkosoa kwa Idea yake ya kugawa watu kwa dini zao kwa kuahidi Mahakama ya kadhi wakati akijua kuwa nchii hairuhusu dini kuingia kwenye katiba. Ukristo hauna chuki na mtu, ukikuta Mkristo ana chuki ujue ni shetani tu kamuingia maana Yesu anasema amri kuu kupita zote ni UPENDO
Ninavyo fahamu mm nilazima pesa za serikali zinapo toka hazina kwenda ktk taasisi yeyote ile nilazima serikali ijue matumizi yake yalio kusudiwa.
Na kama ni hivyo basi mtu pekee anaetakiwa kufuatilia matumizi hayo ni ofisi ya CAG .
Nakama kuna kinga ktk mkataba huo wa kanisa na serikali kuwa serikali isihoji matumizi ya pesa zake basi mkataba huo una walakin na unapaswa kuangaliwa upya.
Kuhusu mapadri kumkashif na kumpiga vita kiwete na ccm yake nenda sumbawanga tu utaona na utajua kama wanampiga vita au wanamkosoa.
Na swala la kadhi sio suwala la kikwete binafsi hii ni ilani ya ccm na niahadi ya ccm kwa waislam.
Mm binafsi siikubali aina hii ya mahakama ya kadhi na nawashangaa wanao itaka napia nawashangaa wakiristo wanao ikataa ukisemo na ww.
Mm nahitaji zaidi umoja na mshikamano baina waislam na wasio kuwa waislam.
Sio hivi tulivyo leo tumegawanyika ktk makundi mengi na kila kundi lina mtazamo wake.
 
Back
Top Bottom