zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,842
- 8,637
Pasco hapa ndipo unapoweza kumaliza hasira za Boss wako, hakuna kulala mwambie Lowasa akupe details zote anazozifahamu lete mwaga hapa na from there indio utakuwa mwisho wa matumizi ya neno kujivuwa gamba.
Kuna storm kubwa inakuja ambayo cha kusikitisha mpaka sasa Watanzania wameshindwa kusoma alama za nyakati kwamba Mungu ameamuwa kujidhihirisha upande wa Wananchi lakini cha kushangaza taasisi za kiraia na kidini ziko kimya juu ya swala hili.
Kwa hakika huu ndio wakati muhafaka wa kuing'oa serikali ya Kikwete madarakani, hatuna sababu ya kusubili mpaka 2015 maana hata JK akisema avunje baraza lake leo atapata Mawaziri kutoka miongoni mwa Wabunge wepi? Lusinde!!??....
hapo kwenye red, mkuu acha tu hizo taasisi zikae kimya, wakizungumza upande mmoja watasema ni CDM, tunahitaji kura zakutosha toka ukanda wa pwani 2015, kwa sasa ngoja wasitibue mambo, hope umenielewa, upande mmoja wa hizo taasisi utapingana na upande mwingine pasipo hoja kwa sababu tu ya shule kuwa ndogo.