I can testify beyond reasonable doubt that Nundu is innocent!!!
Mmmmmmmmmmmh mambo ya BOOT yaani build, own, operate and transfer kwa kweli kazi kwelikweli. Accountability is what we Tanzanians need.
Mkuu wangu pengine mimi sikusoma vizuri lakini sioni hata hiyo ya kwanza imefuata kitu gani..nakuomba soma hoja namba 10 ya n00b kuna mahala imeeleza wazi kwamba ni CCCC walioonyesha interest ya kujenga mradi huo mwaka 2009, haikuonyesha ufuatiliaji wa Public procuament za wakati ule.
Nchi imeoza.
Asante mkuu.Pande zote 2 kuna tatizo. Kwanza ni kwa nini hiyo kazi isitangazwe wazi kampuni zishindane kama taratibu zinavyotaka.
Inakuwaje wizara 1 inakua na makundi mawili kila moja linakimbiza dili kivyake hii pia ni dalili kuwa kuna harufu mbaya kwenye dili nzima.
Lakini huyu Nunda ndio ametia fora hata aibu hana. Yuko tayari kukabidhi mradi pekee unaozalisha kwa wageni kwa miaka 45 kwa pesa ambazo naamini mradi ukikamilika gharama za ujenzi zinaweza kupatikana ndani ya mika 10.
Kichekesho zaidi ni jinsi ujinga huu ulivyo wazi lakini mamlaka husika zimeshindwa kuwawajibisha wahusika.
Kwa ushahidi huu naelewa sasa kwa nini hata magogoni wanajikanyaga.
Kwa sasa hatima ya nchi hii ipo kwa Watanzania wenyewe. Hakuna tena uongozi jahazi la nchi linazama.
Hii kipande nilikuwa sjakisoma.
Nashangaa sana watu wanazungumzia Nundu! Nundu!,wakati Mradi kwa ujumla wake ulikuwa si halali kisheria.Nitapata kuamini kama atakuja mtu na hoja kuwa kampuni ya mwanzo ilitumia utaratibu fulani wa kisheria kufikia hatua ya kupewa kazi hiyo.