Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUjaeleweka mkuu
Unasafishaje mtu kwa barua moja
Acheni uvivu wakuu,kama mnatumia simu sawa, ila hapo kuna file Invisible ameattach mautamu yote yapo humo, kabla ya kucomment angalie kwanza maana amesema hapo inabidi u download hataki kumwaga mtama kwenye kuku wengi....
Hao wachina mbona wanaonekana wanapata habari kuhusu nini kinaendelea kwenye serikali ya Tanzania toka vyanzo vingine? Kwa mfano walijuaje Hazina wameandika barua? Hapa naona Nundu alikuwa na team yake, na naibu waziri wake alikuwa na team yake! Lakini wote kwa pamoja na interest moja = screw Tanzania kama zile twin towers za BOT!
I see!!...
Hivi inawezekana JK kwake habari nzito ni kwenda kuzika a Dead body Bingu wa Mutharika kuliko hii, bado siamini kama JK pamoja na udhaifu wake mwingi bado atakuwa amefanya kosa hili.Mhnnn!!! Haya!!! Kumekucha!!
Fuatilia hii thread kwa makini, mambo yote sasa yapo hadharani huitajiki tena kulifunguwa wewe hilo file, hiyo kazi umesharahisishiwa.Wengine tumeshindwa kuifungua hiyo attached file.
Sijapenda habari za kutoa bandari rehani kwa miaka 45.
Fuatilia hii thread kwa makini, mambo yote sasa yapo hadharani huitajiki tena kulifunguwa wewe hilo file, hiyo kazi umesharahisishiwa.
Hivi inawezekana JK kwake habari nzito ni kwenda kuzika a Dead body Bingu wa Mutharika kuliko hii, bado siamini kama JK pamoja na udhaifu wake mwingi bado atakuwa amefanya kosa hili.