Ni kweli kabisaa AI & Machine Learning inakuwa kwa kasi sanaaa, ukilinganisha na miaka ya nyuma!chatgpt inazidi kujifunza ifika mwaka 2500 itakuwa inatuongoza kwa kututumikisha.wanacho dai maroboti wote watakuwa wanafanya kazi kwa akili ambazo tumempa gpt