Nathani hujasoma vizuri au kiingereza kinakupiga chenga CCC iliandika proposal na ku-solicit funds (a soft loan with 3% interest with grace period of 3 years after construction is completed) from Exim Bank China kupitia serikali yao! yaani wanaaminika huko kwao na wana experince kampuni ya tano kwa ukubwa duniani kwenye uendeshaji wa bandari! sasa unapouliza uwazi wa tender hii ulipaswa kuulizia pia hao China Merchant ltd wana uwazi upi huo wa kwenda behind the scene kujaribu kumshawishi waziri kuvunja makubaliano na CCC ambao washasaini MOU na wame-secure funds! Au hasara ya fidia kutokana ujuha wa kuvunja mikataba kiholela bado hazijawafunza kitu nyie mambumbumbu? Hayo mengineyo sitaki kukujibu maana umeandika upuuzi na bali jua tu Nundu ni mwizi sura yake haijalishi....!
Kuna vitu nilikuwa sitaki kuzungumza humu: Kwanza nikufahamishe kwamba mimi nimesoma Uingereza na nimekaa huko zaidi ya miaka saba, nimefanya kazi na Wachina zaidi ya miaka kumi na ushee kwa hiyo najua
Modus Operandi ya Wachina wa siku hizi, la tatu Mh.Nundu anijuhi na wala sijawahi kukutana naye; mambo mengine hayaitaji kusomea mambo ya sayansi ya roketi kutambua ni akina nani wanao pania kunufaika na mradi huu mzima by hooks and crooks wana inflate thamani ya mradi husika wanafikili hatuna akili.
Analytical mind ya kawaida tu inakudhilihishia wazi ni nani ana Uzalendo wa kweli kati ya Mh.Nundu na group lililo mkalia kooni kwa kutaka kichwa chake - hivi mzalendo wa kweli anaweza kuafiki mkataba ambao huko open ended bila kuwa na check and balance, mpaka Dogo Mnyika alipo nusuru jahazi na Mh. Nundu kuhafikiana naye, unataka kutueleza kamati hilo walikuwa awalioni!!!!!! Alafu muadishi wa post hii amekasirika as if naye anafanya kazi wizarani-WHY?
China kuna makampuni lukuki ambayo ni mahili katika mambo ya ujenzi, why pick CCCC; kampuni ambayo inazunguka zunguka tu hapa Tanzaini kufanya lobbing na ku-exploit weakness za wazalendo wasiokuwa na uaminifu - kwa nini awakai kwao wakasubiri atima ya tenda yao, some Chines are very cunning; waulize TTCL ilivyo ingizwa mkenge kwa kushikizwa na Wachina kwenda mfumo wa CDMA wakati makampuni yote ya simu nchini ni GSM.
Mwisho nataka kuwaelezeni kwamba ni mara chache ma-injinia kujihingiza katika mambo ya ajabu ajabu-wao wanalidhia kuona projects zao zina take off na kukamilika na kuona zinafanya kazi kama walivyo kuwa wanafikilia, mambo ya pesa na hujuma ni secondary kwao. Mimi namuomba Mh.JK ampe rungu Mh.Nundu a-deal na watu hawa kwa nguvu zake zote bila kuogopa mtu yeyeyote-Watanzania wengine wamekubuhu katika kufanya mambo ya fitina, uzushi na kuaribiana sifa na hii ndiyo inayofanyika katika Wazari hii, Waziri asipokuwa makini anaweza kuyumbishwa sana - chain of command aziheshimiwi hata kidogo.
Mh Nundu futilia mbali mambo ambayo unayaona hajakaa sawa na umuombe mweshimiwa Raisi afanye mabadiriko makubwa kwenye Wizara hii nyeti, asihishie hapo hata TPA wanapashwa kushughulikiwa. Nataka nimkumbushe Mh.Nundu kwamba wewe ndiye umepewa dhamana ya ku-run Wizara kwa hiyo don't you be wobbly au kuwa-controlled remotely, historia ndiyo itakuhukumu. Just read between the lines kwa huyu anayenipinga humu ndiyo utajua unakazi ya ziada-wamejipanga kweli kweli. Mungu akulinde.