ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,653
Hapa mi ndo huwanabakiaga hoi. Hebu angalia hayo majina ya walopewa kopi ya barua, yaani CC, Mh Nundu hapo kapigwa chenga ya mwili, na kama kujua hilo dili basi ni kwa ridhaa tu ya KM wake ili hali yeye ndo msimamizi mkuu wa day to day operations of his ministry!