Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,506
- 1,864
NMB juzi mlifungua makao makuu mapya katika jengo la Nyumba Ya Sanaa . Ni vizuri kwa branding ni mahala au sehemu strategical kabisa kwa branding.
lakini juu ya hayo wasi wasi wangu ni gharama za kukodi jengo hilo lote . jee risk mangers na budget planner wenu kweli wamzingatia cost ya kukodo jengo lote ?
jee hapa faida ya bank yote inaenda kwenye kodi ?
hili jengo nathani lina gorofa 5 na kwa wastani kila floor ni wastan wa sqmts 1200 ambapo kodi ya kawaida ya CBD ni $ 23sqmt so 23x1200x5 =138,000 x 12 =1,656,000
kwa miaka mitano =$ 8,280,000.
sasa kibiashara hizi pesa ni nyingi mno na ufujaji hizi hapa Mjini unapata Kiwanja kwa bei ya chini ya $2-3m na mnaweza kujenga jengo la kwenu pekee kwa anothe $ 2-3 m hivyo na chengi inabaki.
uamuzi wenu sio biashara labda kama hilo jengo mume kodi $ 5/sqmt !!!!!
Nafikiri hawaruhusiwi kujenga jengo lao, kuna mtu aliwahi kuniambia hivyo kuwa BOT lazima itoe kibali karibu kwa kila kitu mnachonunua ama kutumia. Nasikia kuwa hata vijiko lazima upate " No objection" kabla ya kununua