Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,218
- Thread starter
- #101
aiiii!!!! ukiwa na good news kama hizi uwe unanipm. bado wapo nije kukamata fursa chap chap?
bado nimeambiwa kuwa kuna hadhina ya kutosha
aiiii!!!! ukiwa na good news kama hizi uwe unanipm. bado wapo nije kukamata fursa chap chap?
Jamani kuweni serious basi mbona kama naona hii habari imejaa utaniutani? Watu tumechoka jamani kama ni kweli na sie tutoroke maofisini alaaaaa!!!!
hakuna ukweli hapa...........
ni dhahabu kweli!!! mkuu niko karibu na maeneo ya Ubungo naweza kuja
njoo usihofu
Angalieni wadau kitu nilichopata,na bado niweka nyoka wangu kama 10,hakika tiketi ya kutoka imeshapatikana.
Tangu lini Dar Kukawa na dhahabu,kama ni kweli basi ni maajabu fulani
kumbe bado upo ofisini tangu nimeleta uzi.fanya faster
Unafahamu kwamba uongo ni dhambi? Hayo sio mawe ya kuchezea MDAKO kweliAngalieni wadau kitu nilichopata,na bado niweka nyoka wangu kama 10,hakika tiketi ya kutoka imeshapatikana.
Sio uroho...Lazima vyanzo vya mapato vitambuliwe haraka iwezekanavyo. Halafu mnakuja hapa kutaka barabara nzuri, madawa hospitalini, shule zijengwe na vitabu viwepo, maabara nk. unafikiri zitatoka wapi. Nasisi tuweke kwenye V8 zetu mafuta ya kutosha, tulipate vikaoni 500,000 kwa siku, unafikiri zitaoka wapi? Acha utani bhana
Nitawahi kweli@Fyddel
Supu plus viroba... ??!! The worst food mixture. Kama mtu kawa chizi hivi
Hakika hii kitu ni kweli,mimi ni mfanyabiashara wa madini,nilipata hizi news tangu jana usiku,nikatafuta vijana wangu wa kazi,na kwa vile zana za kazi ninazo kazi ikaanza saa saba usiku kuamkia leo,ilivyofika saa 12.30asubuhi leo tayari nilikuwa na mzigo ambao mnauona kwenye picha,hiyo picha ni baaada ya kusafishwa na kuwa refined.MDAU USIWE KAMA TOMASO,CHANGAMKIA FURSA HIZIuongo live.............,
Unafahamu kwamba uongo ni dhambi? Hayo sio mawe ya kuchezea MDAKO kweli