Njoo Ubungo darajani uchimbe dhahabu,shimo limetema

Njoo Ubungo darajani uchimbe dhahabu,shimo limetema

Picha tu!hiyo hapo
 

Attachments

  • 1394016897682.jpg
    1394016897682.jpg
    52.7 KB · Views: 160
Hakika hii kitu ni kweli,mimi ni mfanyabiashara wa madini,nilipata hizi news tangu jana usiku,nikatafuta vijana wangu wa kazi,na kwa vile zana za kazi ninazo kazi ikaanza saa saba usiku kuamkia leo,ilivyofika saa 12.30asubuhi leo tayari nilikuwa na mzigo ambao mnauona kwenye picha,hiyo picha ni baaada ya kusafishwa na kuwa refined.MDAU USIWE KAMA TOMASO,CHANGAMKIA FURSA HIZI

atleast kwa haya maelezo...we dhahabu imetoka kuchimbwa iwe safi hivi

ingawa bado hii habari siiamini....ina maana hata chombo kimoja cha habari
kimeshindwa kueleza hii habari....
 
Akil ni nywele japo wenye vipara hudhaniwa kuwa na busara zaid
 
Tangu lini Dar Kukawa na dhahabu,kama ni kweli basi ni maajabu fulani

Ha ha haa!! umenikumbusha mwaka 2003 pale kijijini kwetu, ilikuwa majira ya jioni mdogo wangu alikuwa ametokea machungani na kutupasha habari kuwa ameona madini tuka mpuuzia bwana! kumbe alikuwa anayavutia kasi ilipofika mwaka mwaka 2006 aisee jamaa likarudi kule alipoyaona hayo mawe baada ya muda woote huo kupita! tulianza kuona dogo anasafiri safiri kwenda Arusha mjini akirudi anarudi na fusso imejaa cement na kadhalika ghafla hamadi dogo katutolea uvivu kavuta mkonge! kumuuliza anatujibu eti amekopa mahali kuja kushtukia ni ile kona alipoyaonea hayo mawe! kuja kutualika yamekwisha!! yalikuwa yameletwa na maji ya mto wa msimu tu yakajikusanya chini ya magogo yaliyokuwa yamekwama! tulichimba hamna kitu ni maji tu yanapanda!! so usidharau ndugu huwezi jua!
 
Halafu hapo hapo Ubungo Darajani kuna kakundi ka watu kama 15 wanachezesha karata tatu aka kekundu na keusi!
 
Leo ni ashy Wednesday na sio fool Wednesday hii habari ingesubiri mpaka 1st April - fool april 1st
 
habari hii ni ya uwongo na uzushi mkubwa!
nimepita hapo darajani muda si mrefu na wala sijaona chochote kinachoendelea na nimewauliza watu hapo darajani na nimejaribu kushuka chini, hakuna kitu!

mtu mmoja alinishangaa na kunijibu " ndugu hivi kuwe na dhahabu hapo chini unafikiri ungenikuta nipo naendelea kuchomelea hapa??"

attachment.php
attachment.php


cc kobun
 

Attachments

  • IMAGE_005.jpg
    IMAGE_005.jpg
    394.7 KB · Views: 3,892
  • IMAGE_004.jpg
    IMAGE_004.jpg
    309.2 KB · Views: 3,878
  • IMAGE_003.jpg
    IMAGE_003.jpg
    502.9 KB · Views: 122
Last edited by a moderator:
Mmesahau mtambo wangu huu wa tubusscope E2220 mineral detector ungewasaidia kuipata hiyo dhahabu ya kufikirika hapo ubungo, naona machimbo wengi hamyajui karibuni mererani
 

Attachments

  • 1394018420854.jpg
    1394018420854.jpg
    77.7 KB · Views: 123
  • 1394018466814.jpg
    1394018466814.jpg
    76.6 KB · Views: 107
  • 1394018512338.jpg
    1394018512338.jpg
    82.8 KB · Views: 109
mathematics Au watakua upande wa pili? Asante mkuu. Baadae ntapita maeneo ya hapo kijjiweni kunywa kahawa.
 
Last edited by a moderator:
Au watakua upande wa pili? Asante mkuu. Baadae ntapita maeneo ya hapo kijjiweni kunywa kahawa.

wewe uweenda kwenye daraja la ubungo ukiwa unakwenda mwenge,mkuu tuko huku kama unaelekea mbagala kariku na landmark hoter
 
wewe uweenda kwenye daraja la ubungo ukiwa unakwenda mwenge,mkuu tuko huku kama unaelekea mbagala kariku na landmark hoter
Hizo picha zinaonesha wapi? Hilo daraja unalifahamu? hilo gorofa linaloonekana kwa mbali unalifahamu?
mathematics kafika na kaweka picha. kama kadanganya weka picha zako watu wakichimba dhahabu. mkuu huoni uongo sio mzuri?
 
we kwa akili yako hapo ndio dara lilipo kuja hapa chini ya daraja.darajani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom