Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,217
Waendesha bodaboda,wapiga debe,machinga,wapita njia wamama,vijana hadi wazee wamejaa hapa ubungo darajani mandela road karibu na landmark hotel wako busy wanachimba dhahabu,nimeambiwa walianza tangu jana baada ya mtu moja kupata dhahabu.
chanzo mimi mwenyewe.
=======================
chanzo mimi mwenyewe.
=======================
habari hii ni ya uwongo na uzushi mkubwa!
nimepita hapo darajani muda si mrefu na wala sijaona chochote kinachoendelea na nimewauliza watu hapo darajani na nimejaribu kushuka chini, hakuna kitu!
mtu mmoja alinishangaa na kunijibu " ndugu hivi kuwe na dhahabu hapo chini unafikiri ungenikuta nipo naendelea kuchomelea hapa??"
![]()
![]()
cc kobun