Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
Hakika hii kitu ni kweli,mimi ni mfanyabiashara wa madini,nilipata hizi news tangu jana usiku,nikatafuta vijana wangu wa kazi,na kwa vile zana za kazi ninazo kazi ikaanza saa saba usiku kuamkia leo,ilivyofika saa 12.30asubuhi leo tayari nilikuwa na mzigo ambao mnauona kwenye picha,hiyo picha ni baaada ya kusafishwa na kuwa refined.MDAU USIWE KAMA TOMASO,CHANGAMKIA FURSA HIZI
Mfanya biashara wa madini huyo....JF kuna matapeli