Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,991
- 54,125
Bange na viroba vinachemka kichwani kwa mtoa mada.
na baadhi ya wachangiaji
Bange na viroba vinachemka kichwani kwa mtoa mada.
Ni kweli mkuuNaomba niwe wa mwisho kabisa ku-comment, hiyo picha juu si mna iona..?, huu ni uongo.., tuendelee na mengine.
Hovyooo kama gari ya takaAngalieni wadau kitu nilichopata,na bado niweka nyoka wangu kama 10,hakika tiketi ya kutoka imeshapatikana.
Hilo nalo nenoUkikosana na jirani yako tangaza kwa watu kuwa chini ya nyumba yake kuna dhahabu akione cha moto!
Kwanza hapo hapo hapo chini ya daraja kuna vibaka wanachukua mazoezi ya viungo pale na kuna kijiwe chao huko huko chini ya daraja, wasiyaone wao aone yeye mpita njia!Halafu hapo hapo Ubungo Darajani kuna kakundi ka watu kama 15 wanachezesha karata tatu aka kekundu na keusi!
mbona hujatukanwa amekustahi tu, ulitaka watu waserereke wengi bondendi mkawakabe?? kibaka mweusi