hebu thibitisha kwa picha kwa hao waliojazana hapo....Kuna watu wamejazana sana......vigumu kuthibitisha
u mdharau bure tu mtoa mada.Tangu lini Dar Kukawa na dhahabu,kama ni kweli basi ni maajabu fulani
Siku hizi kokoto na mchanga nayo ni madini......Mmesahau mtambo wangu huu wa tubusscope E2220 mineral detector ungewasaidia kuipata hiyo dhahabu ya kufikirika hapo ubungo, naona machimbo wengi hamyajui karibuni mererani
ni dhahabu kweli!!! mkuu niko karibu na maeneo ya Ubungo naweza kuja
Mi nakaribia mkuu na suti yangu ya ofisini. Ulizia chepe sh ngapi kabisa maeneo hayo, nikifika tu ni kuzama mtaroni.
NIna wasiwasi na hii habari, yaani upo eneo la tukio wenzio wanachimba madini wewe uko bust kupost JF? Aaaa wapi, ngoja nilinde kibarua changu permanent
kaka nilipita jana nikaona nikadharau dah leo nyomi watu busy hapa jamaa kama watatu hivi wamepata mawe ya ukweli.umaskini kwisha
u mdharau bure tu mtoa mada.
Wala hajui rock formations zinazoweza kutoa dhahabu, yeye anafikiri ni kiasi cha kuchimba chini.
Kwa eneo lote la ukanda wa pwanni kama kuna rocks basi ni aina iitwayo limestone, aina ambayo haiwezi kutoa dhahabu kutokana na asili yake.
Sasa hiyo dhahabu ya hapo darajani Ubungo pengine mtoa mada ana nia hao machinga na wenye boda boda walichimbue hilo daraja tupate hasara.
Wewe lazima utakuwa kibaka, kwa hiyo ukikwapua mikoba ya wamama na kushuka daraji unadhani hiyo ndio almasi. Angalia watakutia kiberiti muda si mwingi
u mdharau bure tu mtoa mada.
Wala hajui rock formations zinazoweza kutoa dhahabu, yeye anafikiri ni kiasi cha kuchimba chini.
Kwa eneo lote la ukanda wa pwanni kama kuna rocks basi ni aina iitwayo limestone, aina ambayo haiwezi kutoa dhahabu kutokana na asili yake.
Sasa hiyo dhahabu ya hapo darajani Ubungo pengine mtoa mada ana nia hao machinga na wenye boda boda walichimbue hilo daraja tupate hasara.
kha kijana nitake radha matusi yote ya nn?
watu kwa uongo
Umekuta ni matakataka!?