Njoo Ubungo darajani uchimbe dhahabu,shimo limetema

Njoo Ubungo darajani uchimbe dhahabu,shimo limetema

Supu plus viroba... ??!! The worst food mixture. Kama mtu kawa chizi hivi
 
Mi najuwa kuwa hapo kuna madini na watu miaka yote wanachimba hayo madini ila sijajuwa kama dhahabu hupatikana hapo.
 
Unataka picha ya nini?


kuamini kama kweli ubungo either watu wamejaa,au watu wachimba kweli dhahabu!!! coz sisi wengine tupo mbali ila akituwekea picha kwamba walau watu wamejaa wapo katika process hiyo ambao anayoeleza mtoa mada itaturahisishia kuelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom