Duh, hii habari nimechelewa kuiona nilikuwa napata pombe hapa river road hebu nishuke fasta kwa sababu hapa ni dk 10 tu kwa kukimbia.
mhh sio bongo hii
Ni kweli! Utaambiwa kuna mwekezaji tayari alikuwa na leseni ya kuchimba eneo hilo. TZ kila kitu kinawezekana!Mda si mrefu wenyewe , "serkali" wataclaim eneo lao...
Watanzania masikini lakini nchi tajiri
yerewiiiii, mpaka sasa sijui kibajaji changu nimekiacha barabarani lazima wakisukumie mtaroni, simu zote zimeshapotea lakini nachekerea.....yereeeeeeeeee, hizi siuzi hapa bongo ngoja nitafute soko la maana, hizi ni gram za kutosha nimepima kwenye mzani wangu wa ndani zinasoma kilo mbili na gramu kama mia saba.....au sijui mzani umechanganyikiwa huuu, siamini eti!!!
Kwa kodi itakayopatikana kwa uchimbaji wa dhahabu litajengwa daraja lingine zuri zaidi ya hilo. LOL..
Umefika??ngoja nije fasta eneo la tukio
Sio uroho...Lazima vyanzo vya mapato vitambuliwe haraka iwezekanavyo. Halafu mnakuja hapa kutaka barabara nzuri, madawa hospitalini, shule zijengwe na vitabu viwepo, maabara nk. unafikiri zitatoka wapi. Nasisi tuweke kwenye V8 zetu mafuta ya kutosha, tulipate vikaoni 500,000 kwa siku, unafikiri zitaoka wapi? Acha utani bhanauroho huo mkuu taarifa hazijadhibitishwa mnaanza kuweka bajeti?
Mpaka ufike zitakuwa zimeisha.Ngoja nitoke Ununio niende