Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
- Thread starter
- #501
Mwanamke na mwanaume wameumbwa ili kukamilishana. It's like a key and lock. Kila mmoja anamhitaji mwingineKuna ukweli wowote kuwa mwanamke hawezi kuishi kwa raha Bila mwanaume.
Mifano Kuna mabinti wamesimamisha maisha vizuri lakini mwisho was siku inabidi waishi na wanaume.
Kuna wimbi la wanawake walioko diaspora hasa UK Hawa kutokana na maisha ya nje,ubaguzi, na tabia za wanaume was kizungu wengi mwisho was siku wanatafuta vi been 10 bongo na kufunga Hadi ndoa wakiamini ile dhana ya mke aliyekamilika ninaliyeolewa.
