Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
- Thread starter
- #61
Rangi na aina ya nywele, mitochondrial DNAVitu gani ni common ambavyo lazima mwanamke arithi kutoka kwa mama yake wakati wa uumbaji.
Rangi na aina ya nywele, mitochondrial DNAVitu gani ni common ambavyo lazima mwanamke arithi kutoka kwa mama yake wakati wa uumbaji.
Siku hizi wanakojoa chooni. Jaribu kuangalia choonikwa nini zamani wadada walikuwa wakikojoa mkojo unachimba shimo tofauti na siku hizi?
Rangi na aina ya nywele, mitochondrial DNA
Baadhi ya tafiti zimeonyesha kwamba ukubwa wa matiti unaamulia na gene kutoka kwa baba. Hata hivyo pia vitu vingine vinaweza kuathiri ukubwa wa maziwa mfano chakula, madawa nkKwanini mama anaweza kuwa na matiti makubwa/madogo ila mtoto (binti) akawa tofauti na mama yake?
Kwa kweli hapa sina jibu la moja kwa mojaHivi hii ipoje,kuana manz nilidate naye kwa muda wa mwaka na nusu ila kuna hali ambayo nilikuwa nakutana nayo mara chache sana,yaani kwa kipindi chote icho nimekutana nayo kama mara 5 hivi.
Demu nina mkutaga na ile hali ya ulaini ukeni mithili ya kulowa manii(kama ametoka kusex) ila ukimuuliza anasema ni asili yao,ila chakushangaza akiwaga na hiyi hali hata hatoi ushirikiano mzuri ktk tendo na huwa apizi kabisa.
5/5.
Baadhi ya tafiti zimeonyesha kwamba ukubwa wa matiti unaamulia na gene kutoka kwa baba. Hata hivyo pia vitu vingine vinaweza kuathiri ukubwa wa maziwa mfano chakula, madawa nk
Kuna magonjwa mbalimbali yanyoweza kusababisha mwanamke kutoa harufu sehemu za siri. Magonjwa kama bacteria vaginosis, t.vaginalis nkKunuka papuchi kunasababishwa na nini ?
Je mbona wanawake wazuri wanamaji mengi halafu wako baridi sana ndani ya papuchi?
Kutumia hisia zaidi kuliko akiliUdhaifu upi mgumu kufichika kwa mwanamke?
Kutumia hisia zaidi kuliko akili
Hivi hii ipoje,kuna manz nilidate naye kwa muda wa mwaka na nusu ila kuna hali ambayo nilikuwa nakutana nayo mara chache sana,yaani kwa kipindi chote icho nimekutana nayo kama mara 5 hivi.
Demu nina mkutaga na ile hali ya ulaini ukeni mithili ya kulowa manii(kama ametoka kusex) ila ukimuuliza anasema ni asili yao,ila chakushangaza akiwaga na hiyi hali hata hatoi ushirikiano mzuri ktk tendo na huwa apizi kabisa.
5/5.
Tafiti zimeonyesha kwamba mwanamke anamini jinsia nyingine kuliko wanaumeMwanamke anamuamini nani zaidi kati ya mwanaume na mwanamke mwenzake?
Tafiti zimeonyesha kwamba mwanamke anamini jinsia nyingine kuliko wanaume
arw you serious?Nimeona leo nitoe muda wangu kidogo ili tuweze kusaidiana. Mungu akikupa elimu na maarifa bora kushare na wengine.
Napenda kukaribisha swali lolote lile kuhusu wanawake. Uliza swali lolote kuhusu hali mbali mbali za wanawake, mfano kutoa harufu na uchafu sehemu za siri, kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa, mzunguko wa hedhi, kushindwa kufika kileleni, kukosa hamu ya tendo la ndoa , matiti kutoa maziwa wakati hanyonyeshi nk,nk.
Karibu, uwanja ni wako. DM iko wazi kwa mtu anayetaka usiri.
muulize nene aliiona wapi?demu wangu kaniuliza mb0na mashne yngu nyembamba sana? nmetafakar cjapata jibu je nmwambiaje/nimfanyaje
sio wote laknWanawake imara sana katika kulea na kujeng familia. Lakini pia wana mapungufu mengine ambaayo ni aghalabu kutokea kwa mwanaume.Mapungufu hayo ni kama
1. Kukosa usiri. Wanawake wengi sio watu wa kutunza siri. Wanaweza kutoa siri za familia kwa mtu ambaye hana msaada sana. Mfano ni rahsi mwanamke kumuelezea shoshti wake kama mmewe ana upungufu wa nguvu.
2.Kutumia hisia zaidi kuliko akili. Maamuzi ya wanawake wengi yanafuata hisia zaidi kuliko akili.
3.Wivu.
4.Matarijio ya uongo. ni rahsi sana wanawake kuamini wanayo ambiwa , kuona kwenye tv. kama umewahi kusikai mapenzi ya kwenye tamthilia yalianzia kwa wanawake. WENGI HAWAISHI KATIKA UHALISIA
swali zuriMwanamke bora ni yupi?