Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Niulize swali lolote kuhusu wanawake

sijawahi kumuuliza majina ya dawa anazopewa na pia maumivu humuanza anapoingia tu kwenye ovulation ndo maumivu weeee mpaka akiingia period nyingine ndo yanakata na akamaliza period anakuwa mzima tu ila akiingia tu ovulation maumivu yanaanza na hiyo yali ya kutoa uchafu wa brown huenda kwa muda mrefu mpaka akaribie period nyingine ndo yanapotea
Inawezekana akawa na matatizo kwenye mfuko wa kizazi. Ni vizuri kufanya ultrasound
 
Yai linapevuka siku ya 14 kabla ya hedhi inayofuata. Na yai la mwanamke lina kuwa viable kwa muda wa masaa 36 mpaka 48. Baada ya muda huo linakuwa limepoteza uwezo wa kurutubishwa. Linakaa kwenye mfuko wa kizazi linatolea siku 14 baadae na damu ya hedhi
Mkuu nilitaka mchanganuo kwa kirefu kidogo hivi sijakuelewa.

Kama ingekuwa bora zaidi mkuu ungenijibu kila swali na jibu lake,nimeweka maswali kwa kutofautisha ili unipe majibu kwa maswali yalivyo,umenijibu jumla mkuu.

Samahani kwa usumbufu
 
Wanawake ni wasiri wa kupindukia, inategemea na ishu. Kama ni ishu yao basi wataiweka sirini na kamwe hutaijua, ila kama ni ishu yako basi hapo ndio wanaweza kupayuka mpaka mtaa wa saba wakajua kila kitu.

Mwanamke akiamua kuweka siri basi ataenda nayo mpaka kaburini.

Ushahidi: Mkemia mkuu Baba wengi waliopima DNA 2017 watoto si wao. Sasa hao ndio Baba waliopima. Sisi ambao hatujawapima wanetu, basi tuendelee kulea tu huku tukiwa na matumaini.
 
sijawahi kumuuliza majina ya dawa anazopewa na pia maumivu humuanza anapoingia tu kwenye ovulation ndo maumivu weeee mpaka akiingia period nyingine ndo yanakata na akamaliza period anakuwa mzima tu ila akiingia tu ovulation maumivu yanaanza na hiyo yali ya kutoa uchafu wa brown huenda kwa muda mrefu mpaka akaribie period nyingine ndo yanapotea
ENDOMETRIOSIS..
PID...
 
Mkuu nilitaka mchanganuo kwa kirefu kidogo hivi sijakuelewa.

Kama ingekuwa bora zaidi mkuu ungenijibu kila swali na jibu lake,nimeweka maswali kwa kutofautisha ili unipe majibu kwa maswali yalivyo,umenijibu jumla mkuu.

Samahani kwa usumbufu
Nafikiri nilikujibu maswali ya muhimu zaidi. Swali juu ya muda gani linafika kwenye mfuko wa kizazi halina umuhimu sana. Kwa kifupi hakuna muda maalumu wa kufika kwenye mfuko wa kizazi.
 
Kwa nn kama kitanda kimeegemea ukutani, mwanamke huwa anapenda sana kulala upande wa ukutani mwa kitanda huwa hataki kulala mwanzo ni mwa kitanda?
 
Wanawake ni wasiri wa kupindukia, inategemea na ishu. Kama ni ishu yao basi wataiweka sirini na kamwe hutaijua, ila kama ni ishu yako basi hapo ndio wanaweza kupayuka mpaka mtaa wa saba wakajua kila kitu.

Mwanamke akiamua kuweka siri basi ataenda nayo mpaka kaburini.

Ushahidi: Mkemia mkuu Baba wengi waliopima DNA 2017 watoto si wao. Sasa hao ndio Baba waliopima. Sisi ambao hatujawapima wanetu, basi tuendelee kulea tu huku tukiwa na matumaini.

😂😂😂ungeni juhudi tu kwakwel
 
Back
Top Bottom