Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Niulize swali lolote kuhusu wanawake

1.Kwa wastani mwanamke anaweza kufika kileleni baada ya dakika ishirini. Huu ni wastani. Hata hivyo kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanamke mmoja na mwenzake.
2.Mara nyingi mwanamke kuchelewa kukojoa inatokana na matatizo ya kisaikolojia. Ni mara chache sana huwa wana matatizo mengine ya kiafya mfano matatizo ya homoni.
Ahsante kwa majibu mazuri mkuu but ninamaswali mawili ya nyongeza...

01.Nimekuwa nikisikia kuwa mwanamke ana namna mbili za kukojoa nikiwa na maana ya kukojoa goli la kawaida ambalo umesema dk 20 lakini kuna ilo lingine zito ambalo akikojoa ilo kwanza humuheshimu uyo mwanaume na wanaume tumekuwa tukilalamikiwa sana kushndwa kufika iyo stage ya kuwa kojolesha goli hilo upi ukweli wa jambo hili?

02.Nipo kwenye mchakato wa kutafuta mtoto na bby mama na hivi juzi kushinda jana ametoka period mchakato wa kutafuta mtoto unatakiwa uwanze sasa au baada ya siku saba?
 
Mbona tumekuwa tunashuhudia muda mwingine wakiingiliwa kinyume na maumbile wanalia kama ving'ora vya gari la mazishi!

Kwa sasa heshima ya mwanamke inatambulishwa na nini?
Kibailojia nerve zinazosupply kwenye maumbile ya mwanamke na mwanaume yanatoka sehemu moja. Nevu zote hizo zinatoka katika uti wa mgongo level ya S2-4. Kwa hiyo hakuna tofauti yoyote katika hisia na utamu
 
Ahsante kwa majibu mazuri mkuu but ninamaswali mawili ya nyongeza...

01.Nimekuwa nikisikia kuwa mwanamke ana namna mbili za kukojoa nikiwa na maana ya kukojoa goli la kawaida ambalo umesema dk 20 lakini kuna ilo lingine zito ambalo akikojoa ilo kwanza humuheshimu uyo mwanaume na wanaume tumekuwa tukilalamikiwa sana kushndwa kufika iyo stage ya kuwa kojolesha goli hilo upi ukweli wa jambo hili?
02.Nipo kwenye mchakato wa kutafuta mtoto na bby mama na hivi juzi kushinda jana ametoka period mchakato wa kutafuta mtoto unatakiwa uwanze sasa au baada ya siku saba?

1.Kumekuwepo na theory nyingi sana kuhusu kufika kileleni kwa wanawake. Unachopaswa kuelewa hisia za mwili zinatofautiana katika ya mwanamke na mwanamke. Chukulia mfano maumivu, mmoja akichomwa sindano ataruka mpaka mtaa wa saba lakini mwingine huoni chochote. Hisia ziko hivyo.
2.Wanawake wote bila kujua urefu wa mzunguko wao yai linapevuka siku 14, kabla ya hedhi inayofuata. Muulize hedhi yake anaingia lini, then hesabu siku 14 kabla ya hiyo tarehe. Siku hiyo piga gemu. Anachance ya kupata ujauzito kwa asilimia 80 kama ana umri chini ya miaka 30
 
2.Wanawake wote bila kujua urefu wa mzunguko wao yai linapevuka siku 14, kabla ya hedhi inayofuata. Muulize hedhi yake anaingia lini, then hesabu siku 14 kabla ya hiyo tarehe. Siku hiyo piga gemu. Anachance ya kupata ujauzito kwa asilimia 80 kama ana umri chini ya miaka 30

Kwa bahati mbaya hanaga tarehe maalum
 
Nimeona leo nitoe muda wangu kidogo ili tuweze kusaidiana. Mungu akikupa elimu na maarifa bora kushare na wengine.

Napenda kukaribisha swali lolote lile kuhusu wanawake. Uliza swali lolote kuhusu hali mbali mbali za wanawake, mfano kutoa harufu na uchafu sehemu za siri, kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa, mzunguko wa hedhi, kushindwa kufika kileleni, kukosa hamu ya tendo la ndoa , matiti kutoa maziwa wakati hanyonyeshi nk,nk.

Karibu, uwanja ni wako. DM iko wazi kwa mtu anayetaka usiri.
Kwann huenda kujiangalia kwa mirror
 
Hiyo ni kesi nyingine. Jaribuni kuanzia siku ya saba baada ya hedhi.
2.Wanawake wote bila kujua urefu wa mzunguko wao yai linapevuka siku 14, kabla ya hedhi inayofuata. Muulize hedhi yake anaingia lini, then hesabu siku 14 kabla ya hiyo tarehe. Siku hiyo piga gemu. Anachance ya kupata ujauzito kwa asilimia 80 kama ana umri chini ya miaka 30

Kwa bahati mbaya hanaga tarehe maalum
 
kipindi cha kukoma hedhi.. mwanamke afanye nini?
je, baada ya kukoma hedhi ataweza kuendelea kufurahia tendo la ndoa? au ndio anaacha kabisa kufanywa?
kuna dawa zozote anazotakiwa atumie kipindi hicho?
 
kipindi cha kukoma hedhi.. mwanamke afanye nini?
je, baada ya kukoma hedhi ataweza kuendelea kufurahia tendo la ndoa? au ndio anaacha kabisa kufanywa?
kuna dawa zozote anazotakiwa atumie kipindi hicho?
Kuna mambo mengi sana huwa yanaambata na kukoma hedhi. Wanaendelea kufurahia tendo kama kawaida. Lakini baadae wanaanza kupata maumivu kwa sababu maumbile huwa yanaanza kusinyaa. Kama dalili zinawasumbua sana wanaweza kutumia dawa za homoni. Hizi huwa zinaandikwa na daktari
 
Back
Top Bottom