Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,112
- 124,675
[emoji23][emoji23][emoji23] huna lolote
Kichambo tena.... natoa facts hapa
Kichambo tena.... natoa facts hapa
Mtu siku zote huchukia akimuona mwenzie anafuraha lazima atie figisu ili nyote mtaabike, ukishawajua silaha kubwa ni kucheka na kusonga mbele.Watu hupenda kuhukumu sana sijui life style la wengine lina waumiza nini
Acha tu mama, bado huko chemba wanajiapiza kwa gharama yoyote naishia tu kucheka maana sio kwa chuki hii.
Acha tu maneno yao yanaweza kukufanya ukadondosha kikombe cha chai halafu ukija kumuona huyo mtoa mkwara anafika nusu kiganja.... hahahahaDuuh wanakuja hadi chemba? Na wanavyojitiaga wana uwezo wa kuhamisha mbingu ikawa ardhi kama nawaona [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha tu maneno yao yanaweza kukufanya ukadondosha kikombe cha chai halafu ukija kumuona huyo mtoa mkwara anafika nusu kiganja.... hahahaha
Kuna colleration kubwa kati ya body image na sex satisfactionKuna uhusiano gan
Suala la mwanamke kuwa
mnene au mwembamba
na suala la kukojoa kwa haraka,kuchelewa
au kutokojoa kabisa
mimi hapo sichangiiMtu siku zote huchukia akimuona mwenzie anafuraha lazima atie figisu ili nyote mtaabike, ukishawajua silaha kubwa ni kucheka na kusonga mbele.
Sielewi hii lughaAcha tu mama, bado huko chemba wanajiapiza kwa gharama yoyote naishia tu kucheka maana sio kwa chuki hii.
Hahaha u curious of what.
Kweli nikuwapuuzia tu hao. No way outMtu siku zote huchukia akimuona mwenzie anafuraha lazima atie figisu ili nyote mtaabike, ukishawajua silaha kubwa ni kucheka na kusonga mbele.
Siku za wanaume
Uonevu upo pande zote mkuuNaamini Ila mengi yaliandikwa na wanaume so walitia chumvi kumuonea mwanamke maana zamani wanawake hawakua na haki popote. Ndo maana Yesu alipopelekewa yule mwanamke kahaba kwa uzinzi wampige mawe pekee akawaambia asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga mawe. Ndo uone uonevu sasa
Duh iwe positive sum game tuchunguzane tu sasaKuchunguza tu mkuu
Ushaanza kutokuwaelewa wanawake nikajua wewe ndio unatujua kuliko sisi tunavyojijua.Sielewi hii lugha
Mpaka hapo tuseme huamini, kama unaamini mengine yameandikwa kwa maslahi binafsi.Naamini Ila mengi yaliandikwa na wanaume so walitia chumvi kumuonea mwanamke maana zamani wanawake hawakua na haki popote. Ndo maana Yesu alipopelekewa yule mwanamke kahaba kwa uzinzi wampige mawe pekee akawaambia asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga mawe. Ndo uone uonevu sasa
Kaka pole kuna watu wanamaswali ya kizushi na wanafurahisha [emoji16][emoji16][emoji16]Hapo hata mimi sijui kama huwa wanalala au hawalali. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vtu vingine kujiongeza tu hapo na zamani viliandikwa na wanaume unategemea nini. Hafu wanawake walikuwa hawahesabiwi ka watu. Mfano issue ya mtume Paul na marriageMpaka hapo tuseme huamini, kama unaamini mengine yameandikwa kwa maslahi binafsi.
🤣🤣🤣🤣Ushaanza kutokuwaelewa wanawake nikajua wewe ndio unatujua kuliko sisi tunavyojijua.
Ushaanza kutokuwaelewa wanawake nikajua wewe ndio unatujua kuliko sisi tunavyojijua.
Straight ni watu gani ?Kwani wewe sio straight?