Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Niulize swali lolote kuhusu wanawake

wanawake waliokeketwa nao wanakojoa na kama wanakojoa mbona huwa wanakuangalia tu hata ukae saa nzima kiunoni?
Nimeona leo nitoe muda wangu kidogo ili tuweze kusaidiana. Mungu akikupa elimu na maarifa bora kushare na wengine.

Napenda kukaribisha swali lolote lile kuhusu wanawake. Uliza swali lolote kuhusu hali mbali mbali za wanawake, mfano kutoa harufu na uchafu sehemu za siri, kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa, mzunguko wa hedhi, kushindwa kufika kileleni, kukosa hamu ya tendo la ndoa , matiti kutoa maziwa wakati hanyonyeshi nk,nk.

Karibu, uwanja ni wako. DM iko wazi kwa mtu anayetaka usiri.
 
Mkuu swali
langu hujajibu post namba 390
Kuhusu mwanamke mnene na mwembamba na suala la kufika kilelen
 
Nimeona leo nitoe muda wangu kidogo ili tuweze kusaidiana. Mungu akikupa elimu na maarifa bora kushare na wengine.

Napenda kukaribisha swali lolote lile kuhusu wanawake. Uliza swali lolote kuhusu hali mbali mbali za wanawake, mfano kutoa harufu na uchafu sehemu za siri, kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa, mzunguko wa hedhi, kushindwa kufika kileleni, kukosa hamu ya tendo la ndoa , matiti kutoa maziwa wakati hanyonyeshi nk,nk.

Karibu, uwanja ni wako. DM iko wazi kwa mtu anayetaka usiri.
Kwa nini wanawake wengi hawana gorori ktk K zao wakati wengine wanazo hizo gorori.
 
Its not me and ameenda sana hospitali na ant biotic za kutosha ametumia hadi sindano zamishipa kachoma ila hali bado inamrudia
Ametumia antibiotic zip na sindano gan kma unajua?.. Maana PID inahitaji combination ya dawa hata 3 na zaid.. Pili hilo tumbo humuuma kwa muda gan.. Na tatu daktari alisema shida yake ni ipi haswa?
 
mkuu mimi napenda sana kunyonya k au kuzama chumvini kwa demu wangu na hii tabiaa nimejikutaa tu napenda na nafurahia na nisipofanya hivyo najion km sijafanya mapenzi sasa najiuliza kunamadhara gani makubwa kwa kufany hicho kitu au nitumie njia gn kujikinga kuzuiya hy madhara km yatakuwep mkuu
 
1.Kumekuwepo na theory nyingi sana kuhusu kufika kileleni kwa wanawake. Unachopaswa kuelewa hisia za mwili zinatofautiana katika ya mwanamke na mwanamke. Chukulia mfano maumivu, mmoja akichomwa sindano ataruka mpaka mtaa wa saba lakini mwingine huoni chochote. Hisia ziko hivyo.
2.Wanawake wote bila kujua urefu wa mzunguko wao yai linapevuka siku 14, kabla ya hedhi inayofuata. Muulize hedhi yake anaingia lini, then hesabu siku 14 kabla ya hiyo tarehe. Siku hiyo piga gemu. Anachance ya kupata ujauzito kwa asilimia 80 kama ana umri chini ya miaka 30

Kama ni 30 inakuaje?
 
mkuu mimi napenda sana kunyonya k au kuzama chumvini kwa demu wangu na hii tabiaa nimejikutaa tu napenda na nafurahia na nisipofanya hivyo najion km sijafanya mapenzi sasa najiuliza kunamadhara gani makubwa kwa kufany hicho kitu au nitumie njia gn kujikinga kuzuiya hy madhara km yatakuwep mkuu
Kuna ushahidi kuwa kunyonya kunaongeza hatari ya kupata kansa ya koo kwa mwanaume. Unashauriwa kutumia dental dam
 
Kuna ukweli wowote kuwa mwanamke hawezi kuishi kwa raha Bila mwanaume.

Mifano Kuna mabinti wamesimamisha maisha vizuri lakini mwisho was siku inabidi waishi na wanaume.

Kuna wimbi la wanawake walioko diaspora hasa UK Hawa kutokana na maisha ya nje,ubaguzi, na tabia za wanaume was kizungu wengi mwisho was siku wanatafuta vi been 10 bongo na kufunga Hadi ndoa wakiamini ile dhana ya mke aliyekamilika ninaliyeolewa.
 
wanawake waliokeketwa nao wanakojoa na kama wanakojoa mbona huwa wanakuangalia tu hata ukae saa nzima kiunoni?
Mwanamke aliyekeketwa anakojoa vizuri sana tu, ni wewe tu na ufundi wako Mzee, kama hujamjulia vizuri unaweza kukaa nae mpaka anazeeka na kufa bila kukojozwa ila ukimjulia unaamua tu leo nimemkojoze viwili, vitatu au vinne, wewe tu.
 
Mwanamke aliyekeketwa anakojoa vizuri sana tu, ni wewe tu na ufundi wako Mzee, kama hujamjulia vizuri unaweza kukaa nae mpaka anazeeka na kufa bila kukojozwa ila ukimjulia unaamua tu leo nimemkojoze viwili, vitatu au vinne, wewe tu.
✌✌✌✔✔🔥🔥🔥👐👐
 
Back
Top Bottom