Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Niulize swali lolote kuhusu wanawake

Hivi hii ipoje,kuna manz nilidate naye kwa muda wa mwaka na nusu ila kuna hali ambayo nilikuwa nakutana nayo mara chache sana,yaani kwa kipindi chote icho nimekutana nayo kama mara 5 hivi.

Demu nina mkutaga na ile hali ya ulaini ukeni mithili ya kulowa manii(kama ametoka kusex) ila ukimuuliza anasema ni asili yao,ila chakushangaza akiwaga na hiyi hali hata hatoi ushirikiano mzuri ktk tendo na huwa apizi kabisa.


5/5.
Demu mkali sana huyo hebu nipe mimi huyo, nawataka sana hao tena asiwe na harufu yaani dah
 
nar

Nimeona leo nitoe muda wangu kidogo ili tuweze kusaidiana. Mungu akikupa elimu na maarifa bora kushare na wengine.

Napenda kukaribisha swali lolote lile kuhusu wanawake. Uliza swali lolote kuhusu hali mbali mbali za wanawake, mfano kutoa harufu na uchafu sehemu za siri, kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa, mzunguko wa hedhi, kushindwa kufika kileleni, kukosa hamu ya tendo la ndoa , matiti kutoa maziwa wakati hanyonyeshi nk,nk.

Karibu, uwanja ni wako. DM iko wazi kwa mtu anayetaka usiri.






































narud badae
 
kuna siku nime lala kama mida ya saa saba nahisi kunyenge umedinda nafungua macho nakuta mtu kaushika kama handbreak huku machozi yanamtoka hadi leo sielewi alikuwa na maana gani. aligoma katakata kunieleza sababu za kulia na kushika mkunyenge,naomba maoni yako mtaalam
Alikua anataka kuukata...! Bahati yako ulishtuka
 
But the way you answered mhhhhhh. Chini ya jua no one is perfect kabisa au aliye kamili so stop labelling us as weak vile mliaminishwa kuanzia kwenye maandiko
Hahahaha unajikuta stroong woman mwenyewe
 
Back
Top Bottom