Nitazipata wapi pepeta (rice flakes) nchini? Nipo Mbeya

Nitazipata wapi pepeta (rice flakes) nchini? Nipo Mbeya

IsDinah

Member
Joined
Jan 26, 2025
Posts
21
Reaction score
31
Habari wanajamvi, naomba msaada wenu. Natafuta pepeta (rice flakes) kwa ajili ya matumizi ya biashara ya vyakula. Nipo Mbeya lakini niko tayari kuagiza hata kutoka nje ya mkoa kama kuna wauzaji wa jumla au rejareja. Naomba mnisaidie kujua ni wapi naweza kuzipata au hata kama kuna mtu anayeuza aniambie. Ahsanteni sana.
 
Njia ya Ifakara pale mkamba, pia maduka ya wahindi huwezi kosa hasa wanakouza viungo
 
Habari wanajamvi, naomba msaada wenu. Natafuta pepeta (rice flakes) kwa ajili ya matumizi ya biashara ya vyakula. Nipo Mbeya lakini niko tayari kuagiza hata kutoka nje ya mkoa kama kuna wauzaji wa jumla au rejareja. Naomba mnisaidie kujua ni wapi naweza kuzipata au hata kama kuna mtu anayeuza aniambie. Ahsanteni sana.
Yaani nilivyoona pepeta basi nikajuwa unataka kujuwa Twanga Pepeta wanapiga wapi wiki hii ili nichangie mada, pole mkuu. I hopę utapata ukitakacho.
 
Habari wanajamvi, naomba msaada wenu. Natafuta pepeta (rice flakes) kwa ajili ya matumizi ya biashara ya vyakula. Nipo Mbeya lakini niko tayari kuagiza hata kutoka nje ya mkoa kama kuna wauzaji wa jumla au rejareja. Naomba mnisaidie kujua ni wapi naweza kuzipata au hata kama kuna mtu anayeuza aniambie. Ahsanteni sana.
Njoo morogoro huku lifwakara
 
Back
Top Bottom