"Nitakuona Bonge la Mwanamme......"

"Nitakuona Bonge la Mwanamme......"

The ball is in your basket cha kuufanyia utajua mwenyewe, duniani kuna viroja urushe hela ndo uonekane mwanaume???????:confused2:
 
ahaa...wewe vipi kaka! 30,000 tu...si unamsaidia halafu unapotezea forever

Kurusha sio tatizo...

Tatizo ni huo mkwala wa kuniona Bonge la Mwanamme?
 
Kuna sisiter du 1 kipindi cha nyuma nilikuwa nikimpa mpa hela , kuna kipindi akawa ananilalamikia kuwa

hela ninazompa ni kidogo, nikaachana naye....

Sasa leo kanipigia ananiomba nimrushie elfu 30 ana shida sana, na akaniambia kuwa

nikimrushia hizo pesa ataniona BONGE LA MWANAMME!!

Ningeomba mnishauri, nimrushie nionekane Bonge la Mwanamme?

au nisimrushie na nionekane sio Mwanamme?

Hapo kwenye blue panahusika !!!!
Usipomrushia hizo pesa atakuona BONGE LA MWANAMKE !!!!
Shtuka !!
 
Kwanza umevunja ya Jamiiforums.."Name calling" hizo za nji ulizovunja utazifahamia Segerea

Samahani Mkuu. Kwi kwi kwi. Segerea hapajatengenezwa kwa ajili ya mbuzi. Mbn hujanijibu kuhusu Cantalisia
 
Last edited by a moderator:
Kuna sisiter du 1 kipindi cha nyuma nilikuwa nikimpa mpa hela , kuna kipindi akawa ananilalamikia kuwa

hela ninazompa ni kidogo, nikaachana naye....

Sasa leo kanipigia ananiomba nimrushie elfu 30 ana shida sana, na akaniambia kuwa

nikimrushia hizo pesa ataniona BONGE LA MWANAMME!!

Ningeomba mnishauri, nimrushie nionekane Bonge la Mwanamme?

au nisimrushie na nionekane sio Mwanamme?

Usimrushie kwani atakuona Bonge la Zuzu
 
Duuuuh yeye ana onekana kujiamini kuzidi wewe!
Kuna sisiter du 1 kipindi cha nyuma nilikuwa nikimpa mpa hela , kuna kipindi akawa ananilalamikia kuwa

hela ninazompa ni kidogo, nikaachana naye....

Sasa leo kanipigia ananiomba nimrushie elfu 30 ana shida sana, na akaniambia kuwa

nikimrushia hizo pesa ataniona BONGE LA MWANAMME!!

Ningeomba mnishauri, nimrushie nionekane Bonge la Mwanamme?

au nisimrushie na nionekane sio Mwanamme?
 
Mie ni mwanamke lakini nakushauri Boflo usimpe .. Uanaume haupimwi kwa pesa bana.....
Hata kama ulimpa zamani ilikuwa ni kwa mapenzi ya dhati na hakuridhika, sasa iweje leo anayarudia matapishi?
 
Last edited by a moderator:
Boflo,

Mwambia hutamrushia maana unataka ufanye jaribio jinsi Mwanaume ASIYE BONGE anaonekana au anakuwa. Mwambia ukishagundua hasara au faida ya kutokuwa BONGE LA MWANAMUME, basi utaamua kumrushia au kutomrushia.
 
Last edited by a moderator:
Jiamini wewe mwanaume bwana kwanini uununue uanaume wako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom