Adrian Stepp
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 2,764
- 2,581
Ebwanaee.....kumbe uko hai? Kuna jama walidai umesatuka hapa JF....my pal
afYATUKE jf WATOTO WALE MAWEE..hujui bwn Nnauye anawalipa kwa kazi yao..
Ebwanaee.....kumbe uko hai? Kuna jama walidai umesatuka hapa JF....my pal
30k ndio bonge la mwanaume. ukimpa 300k atakuonaje? libonge la mwanaumeKuna sisiter du 1 kipindi cha nyuma nilikuwa nikimpa mpa hela , kuna kipindi akawa ananilalamikia kuwa
hela ninazompa ni kidogo, nikaachana naye....
Sasa leo kanipigia ananiomba nimrushie elfu 30 ana shida sana, na akaniambia kuwa
nikimrushia hizo pesa ataniona BONGE LA MWANAMME!!
Ningeomba mnishauri, nimrushie nionekane Bonge la Mwanamme?
au nisimrushie na nionekane sio Mwanamme?
lololololololol. asubiri kun--a debeAnataka elfu 30?????? huyu lazima atakuwa mtoto wa shule -primary/secondary!!
Kuna sisiter du 1 kipindi cha nyuma nilikuwa nikimpa mpa hela , kuna kipindi akawa ananilalamikia kuwa
hela ninazompa ni kidogo, nikaachana naye....
Sasa leo kanipigia ananiomba nimrushie elfu 30 ana shida sana, na akaniambia kuwa
nikimrushia hizo pesa ataniona BONGE LA MWANAMME!!
Ningeomba mnishauri, nimrushie nionekane Bonge la Mwanamme?
au nisimrushie na nionekane sio Mwanamme?
Nipo nimejaa...mambo ya hapa na pale yananifanya kutokuwa muda mrefu hapa.
Nawashukuru sana wana Jf kwa michango yenu, na mme react kwa muda mfupi sana...
Nimefarijika sana, nawapenda sana na Mungu awabiriki
Anataka elfu 30?????? huyu lazima atakuwa mtoto wa shule -primary/secondary!!
Umeamua vipi sasa....mbona wakimbia mapema!Nawashukuru sana wana Jf kwa michango yenu, na mme react kwa muda mfupi sana...
Nimefarijika sana, nawapenda sana na Mungu awabariki
hahahaha...lol,Weee, Tandale hii nahonga ya mwezi mzima, na ninalisha familia
Nipo nimejaa...mambo ya hapa na pale yananifanya kutokuwa muda mrefu hapa.
Kuna sisiter du 1 kipindi cha nyuma nilikuwa nikimpa mpa hela , kuna kipindi akawa ananilalamikia kuwa
hela ninazompa ni kidogo, nikaachana naye....
Sasa leo kanipigia ananiomba nimrushie elfu 30 ana shida sana, na akaniambia kuwa
nikimrushia hizo pesa ataniona BONGE LA MWANAMME!!
Ningeomba mnishauri, nimrushie nionekane Bonge la Mwanamme?
au nisimrushie na nionekane sio Mwanamme?