"Nitakuona Bonge la Mwanamme......"

"Nitakuona Bonge la Mwanamme......"

Yaani Nyani huyu mtu kwanza nina uchungu naye kwa sababu kala hela zangu nyingi sana

AHAHAHAHHAHAHHAHAHHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAHAHHAHAHAHHAHAHHA KWIKWI KWIWK KWI KWIW KWIW!AHAHAHHAHAH !yani nimepaliwa ujue my dear!kha!
 
Kuna sister du 1 kipindi cha nyuma nilikuwa nikimpa mpa hela , kuna kipindi akawa ananilalamikia kuwa

hela ninazompa ni kidogo, nikaachana naye....

Sasa leo kanipigia ananiomba nimrushie elfu 30 ana shida sana, na akaniambia kuwa

nikimrushia hizo pesa ataniona BONGE LA MWANAMME!!

Ningeomba mnishauri, nimrushie nionekane Bonge la Mwanamme?

au nisimrushie na nionekane sio Mwanamme?
Mimi huwa najali mimi mwenyewe najionaje. Kama najiona bonge la mwanaume then I dont care mwingine ananionaje. Anachokufanyia ni kukusifu ili tuoe hiyo hela.
 
ukimpa tu wewe ni *****, na cha kushangaza anaweza akawa alililiwa shida na boy wake anaempenda, sasa ukimpa atakuona bonge la *****. aka ATM
 
itakuwa ndo BOOOOOONGE LA BWAN'A

Ngoja Boflo aje atuambie linakuwaje hasa hilo bonge la mwanaume. Halafu kaombwa elfu 30 tu anatuuliza kama atoe au la, je akiombwa kulipia ada ya chuo? Preta hebu ongea na best yako bana. Mwambie sometimes kuna raha yake kuwa zombie.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom