"Nitakuona Bonge la Mwanamme......"

"Nitakuona Bonge la Mwanamme......"

Kuna sister du 1 kipindi cha nyuma nilikuwa nikimpa mpa hela , kuna kipindi akawa ananilalamikia kuwa

hela ninazompa ni kidogo, nikaachana naye....

Sasa leo kanipigia ananiomba nimrushie elfu 30 ana shida sana, na akaniambia kuwa

nikimrushia hizo pesa ataniona BONGE LA MWANAMME!!

Ningeomba mnishauri, nimrushie nionekane Bonge la Mwanamme?

au nisimrushie na nionekane sio Mwanamme?

Boflo achana nae huyo hana maana zikikuishia atakukimbia kakaaa.
 
... Boflo, ili kuukata mzizi wa fitna, wewe fanya lisilopendeka kwa wapiga mizinga - muulize anahitaji kwa ajili ya nini? Akikujibu, basi kamnunulie hicho alichokitaja na kumpatia. Maana ukimpatia hiyo buku 30 huchelewi kuta naye kaambiwa na kinjemba fulani hivi tu kwamba akikipatia hiyo buku 30 basi kitamwona Boooooonge la deeeemu!! They say, sh*t rolls down the hill, only depends what side are you on! Now, Boflo, have your pick!!! :madgrin:
 
Last edited by a moderator:
Kumbe siku zote hizo alikuwa anakuona we Zombie au msukule wake sasa ili kukuprovoke utoe. Hela ndo ameona akujaze ujinga huo. Katika yote hujawahi kuwa mwanaume kwake na hata ukimpa ndo utakuwa zombie square to her

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Naona u-zombie umeanza kukutoka..hizi sredi za lara1 zinasaidia.
 
DA anauliza hivi mpaka leo kuna mwanamke bado anaomba pesa?? Tena pesa yenyewe 30,000Tshs yaani hiyo ni kama 20$???!!! Sitaki kuamini huyo ni mwanamke wa wapi???

Najua wanawake wanaweza siku hizi tena bila kuwezeshwa..................

Boflo huo mlupo wa wapi huo wakuomba 30??? Dah nimeshangaa au mimi ndo mshamba/sijui??
 
Wewe mwenyewe Boflo umeegemea kipande ipi Mkuu?

Kuna sister du 1 kipindi cha nyuma nilikuwa nikimpa mpa hela , kuna kipindi akawa ananilalamikia kuwa

hela ninazompa ni kidogo, nikaachana naye....

Sasa leo kanipigia ananiomba nimrushie elfu 30 ana shida sana, na akaniambia kuwa

nikimrushia hizo pesa ataniona BONGE LA MWANAMME!!

Ningeomba mnishauri, nimrushie nionekane Bonge la Mwanamme?

au nisimrushie na nionekane sio Mwanamme?
 
Last edited by a moderator:
Mademu wa bongo njaa sana,asa mtu anagongea hadi sh elfu 30..!!
 
DA anauliza hivi mpaka leo kuna mwanamke bado anaomba pesa?? Tena pesa yenyewe 30,000Tshs yaani hiyo ni kama 20$???!!! Sitaki kuamini huyo ni mwanamke wa wapi???

Najua wanawake wanaweza siku hizi tena bila kuwezeshwa..................

Boflo huo mlupo wa wapi huo wakuomba 30??? Dah nimeshangaa au mimi ndo mshamba/sijui??
Sister upo TZ au nje?

masister du wachuo unakupiga mzinga buku 2,

ukimpa msimbazi unakamua kila ukitaka

haya mambo huwez amini utashangaa, ukiishi huku uswaz utayaona hayo.
 
Msaidie tu kama kijana mwenzio,huwezijua anawezakuja kukufaa hapo mbeleni,...
 
ha ha haaa yaani nilipoisoma post alafu nikakutana na jibu la Nyani Ngabu, nkasema kama vile alikuwepo kichwani mwangu...alafu huyo mwanamke ni kiazi BONGE la MWANAUME linapimwa kwa mwekundu watatu tu? seriously? yaani BONGE la MWANAUME....haiwezekani hizi dharau....MPOTEZEE alafu akatafute definition nyingine ya BONGE la MWANAUME, ama!
 
kuna sister du 1 kipindi cha nyuma nilikuwa nikimpa mpa hela , kuna kipindi akawa ananilalamikia kuwa


hela ninazompa ni kidogo, nikaachana naye....

Sasa leo kanipigia ananiomba nimrushie elfu 30 ana shida sana, na akaniambia kuwa

nikimrushia hizo pesa ataniona bonge la mwanamme!!

Ningeomba mnishauri, nimrushie nionekane bonge la mwanamme?

Au nisimrushie na nionekane sio mwanamme?

huyo anataka hela hana maana yoyote kwako
 
Kuna sister du 1 kipindi cha nyuma nilikuwa nikimpa mpa hela , kuna kipindi akawa ananilalamikia kuwa

hela ninazompa ni kidogo, nikaachana naye....

Sasa leo kanipigia ananiomba nimrushie elfu 30 ana shida sana, na akaniambia kuwa

nikimrushia hizo pesa ataniona BONGE LA MWANAMME!!

Ningeomba mnishauri, nimrushie nionekane Bonge la Mwanamme?

au nisimrushie na nionekane sio Mwanamme?

mwanaume ni wa UKWELI na si bonge na ili mwanaume awe wa ukweli shurti...................................
 
Kuna sister du 1 kipindi cha nyuma nilikuwa nikimpa mpa hela , kuna kipindi akawa ananilalamikia kuwa

hela ninazompa ni kidogo, nikaachana naye....

Sasa leo kanipigia ananiomba nimrushie elfu 30 ana shida sana, na akaniambia kuwa

nikimrushia hizo pesa ataniona BONGE LA MWANAMME!!

Ningeomba mnishauri, nimrushie nionekane Bonge la Mwanamme?

au nisimrushie na nionekane sio Mwanamme?

Keshakuona bonge la mwanamme ndo maana kakuomba!Achana nae!
 
Kwani sexual orientation yako inaamuriwa kwa maneno ya watu au kwa jinsi wewe ulivyo mheshimiwa Boflo? Maana maneno hayana lolote la kuongeza wala kupunguza kutoka kwangu
 
Last edited by a moderator:
Kumsaidia mtu anapokuwa na shida ni jambo zuri sana na hukuongezea thamani kiasi ambacho huwezi kutegemea wala kuamini kwa huyo mwenye shida. Nakushauri mpatie tu hata zaidi ya hizo 30,000 ukiona uwezo upo usijali hayo ya nyuma na usijali akikuona bonge la mwanaume au bomu la mwanamme alimradi wewe umeshamsaidia na roho yako itakuwa na amani
 
Wewe si unajijua ni mwanaume? Msaidie tu kama una uwezo wa kumsaidia lakini kumsaidia au kutokumsaidia haitaondoa uanaume wako
 
Kuna sister du 1 kipindi cha nyuma nilikuwa nikimpa mpa hela , kuna kipindi akawa ananilalamikia kuwa

hela ninazompa ni kidogo, nikaachana naye....

Sasa leo kanipigia ananiomba nimrushie elfu 30 ana shida sana, na akaniambia kuwa

nikimrushia hizo pesa ataniona BONGE LA MWANAMME!!

Ningeomba mnishauri, nimrushie nionekane Bonge la Mwanamme?

au nisimrushie na nionekane sio Mwanamme?
Yani ucjaribu hata kumjibu, muache tu, coz kakudharau kinoma, mwambie una hela kidogo ya kumnunulia kipande cha sanda, hiyo 30, kanunue bia unywe na masela wako....


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom