Nipo Mwanza, haijanivutia kabisa

Nipo Mwanza, haijanivutia kabisa

Hizo hadithi kuwa Nazi makini,kwa idadi ya watu sawa hakuna ila kwa economic potential itaikuta na kuipita in long run,Reli ya Tanga-Arusha-Musoma ndio killer ya mwanza,hiyo mikoa mingine inazidi punguza dependence kwa mwanza,daily,keep these words,,Tanzania ya fursa inafungukia kusini na mashariki huko kwingine ni kuunga unga tu
mkuu unapozungumzia tanzania unazungumza mikoa iliyopo kaskazini mwa nchi mara,mwanza,shinyanga,kilimanjaro,arusha zaidi ya nusu ya mapato ya serikali yako kwenye hiyo mikoa
 
Jamani mada za Miji mi nashauri kama unataka kuona Miji chukua paspoti nenda duniani huko ukaone miji. Tanzania nako kuna mji Kaka? Utasikia dar ndiyo mji! Kama manzese, tandale, mbagala sijui rangi ngapi huko mengine ongeza mwenyewe..... Je, ndiyo mjini? Tembeeni acheni mambo ya ajabu mnatuchefua!!
 
......
..... njoo Chuga ukishuka tu angalia kasksazini tembea na begi njia ya pili kulia hatuwa 20 kunja kulia ...taa kubwa kunywa bia
 
Anachokiongea mleta uzi ni kweli mwenyewe nipo mwanza lakini huu mjini miundo mbinu barabara hamna kitu labda njia ya airport
Barabara ya Airport ina kipi cha ziada kuzidi barabara nyingine?
 
Hahah.af we kapeace madem wa dar wamekufanyaje?

Maana sjawai ona umecomment + hata sku1...tatzo madem wa mkoa wamekomaa kapeace,sasa sjui ni barid ndo inawakausha ama nin..af weng hawaijui deodorant..
Mkuu hao waliokomaa labda unazoa waliotoroka visiwani.
 
anachosema mleta mada yupo sahihi kabisa hata mimi mara ya kwanza kufika sikuamini kama ndo lile jiji nalosikia linasifiwa sana na akinangosha, Ni mji mdogo sana na haujapangwa kabisa ukielekea buzuruga angalia apo mabatini huamini kama upo mjini tena, kweny usafir wa public ndo kituko hapo kuna vigari vinabeba abiria apo mfano Kihesa,airpot ni aibu. kweny suala la stand ndo wamepitwa hadi na singida. huwezi kulinganisha stand zote mbili na stand kuu ya singida. niliona hili nikapiga kimya kumbe na ww umeyaona. mje hapa
Utaichukuliaje Mabatini mfano katika uzuri wa jiji?? Hiyo ni sehemu kama zilivyo sehemu nyingine katika majiji yaliyosalia. Mfano. wa uswahilini kwa Dar.
 
Habari zenu wadau
Ni siku yangu Ya pili hapa Rock City (Mwanza) kama inavyo julikana na wengi

Kwa wale wanao tamani kufika mwanza ambalo lisha tunukiwa sifa ya jiji miaka kadhaa sasa lakini jina hilo haliendani na sifa ambayo inapewa

Saa yangu inaonyesha ni saa 1:23 usiku ndani ya dar lux tunaingia mwanza, moyo unashtuka baada ya kuambiwa Nyegezi stand ndo mwisho wa safari, wakimaanisha tusha fika mwanza

Ni giza kila sehemu stand ya nyegezi kama dampo jamaaaani hakuna taa barabara imejaamashimo, taa za barabarani haziwaki

Tunatoka nyegezi twaelekea Nata ambako ndio mwisho wa gari jamaaaani city centre mashimo, viroba vya taka vimetupwa katikati ya barabara

Hiyo ndio mwanza unayo isikia
Pana pambazuka asubuh najiandaa kwa ajili ya mishe ilo nifikisha uuuuuwiiiiii daladala zimechoka, na zinajaza balaa, vituo havieleweki kama vile hakuna mkandarasi wa jiji
Je mkuu wa mkoa hayupo au hajifunzi kutoka kwa Makonda
Ajifunze nini toka kwa bashite wakati dar nayo ni chafu
 
Kama nimeweza ishi dar miaka yote bas naweza ishi mji wowote tz kumanin.a,,..yaan mi nje ya dar naonaga ni machakan tuu,hahahah hata useme wap,nmeish arusha,mwanza,tanga,mbeya ,iringa kootr huko naona machakan na ndomana hata bei ya mdudu huko kotr iko chin tofaut na dar,..dar mdudu bila elf12 hujala ila huko kwenu had jero mdudu unakula
 
anachosema mleta mada yupo sahihi kabisa hata mimi mara ya kwanza kufika sikuamini kama ndo lile jiji nalosikia linasifiwa sana na akinangosha, Ni mji mdogo sana na haujapangwa kabisa ukielekea buzuruga angalia apo mabatini huamini kama upo mjini tena, kweny usafir wa public ndo kituko hapo kuna vigari vinabeba abiria apo mfano Kihesa,airpot ni aibu. kweny suala la stand ndo wamepitwa hadi na singida. huwezi kulinganisha stand zote mbili na stand kuu ya singida. niliona hili nikapiga kimya kumbe na ww umeyaona. mje hapa
Stand ya Singida hata ile ya Moro ni nzuri kinoma kuliko Stand ya Ubungo.Au unabisha.
 
Na hakuna malaya wabovu kama wa mikoan,hata uende mwanza,arusha sjui,angalau arusha,watoto wakal ila very local,..unakuta malaya anatumika mkoa mzima anafahamika maanina
 
Sijakataa kuhusu uswazi ila kwa sifa mwanza inazopewa yeyote akifika atastaajabu. HAKUNA KITU MWANZA. Mji ule ulistahili tu kuwa mamlaka ya mji mdogo. Pita sasa apo makoroboi yan adi unacheka.. hahha ahaha
Ulitaka Makoroboi iwe vipi? Yaani kwa uelewa wangu wa haraka, wewe huijui Mwanza mjini vizuri, naona ulikuwa wapita tu kwenda Magu, ukaomba mwenyeji wako akupitishe kwa wajasiriamali wa nyapu, ukaambulia pia kuona gari za airport kipindi warudi Misungwi.
 
Una shida kwenye akili,au unaonekana we siyo mTanzania.au ni mTanzania wa vijijini.inawezekana hujui miji ya hapa nchini ikoje na hautembei
Mkuu usihangaike na huyo, ndo wale wakishafika stand ni moja kwa moja mpaka majumbani kwao (mkiani mwa jiji) wanauona tena mji siku wakiwa na safari
 
Mwanza ni kati ya majiji yanayoongoza kuwa na miundo mbinu mbovu
Barabara ya kuingia katikati ya jiji ni majanga ukianzia maeneo ya nyegezi kona mpaka maeneo ya sahara ni mashimo ya kufa mtu.
Barabara ni finyu sana na viwanda viko too close na barabara
Ukianzia Pepsi mpaka maeneo ya posta ni balaa, gari ikipata hitilafu hata njia za kuchepukia hakuna.
Viroba vya taka kila mahali nasikia walikua na mgogoro na kampuni yenye kandarasi ya kuzoa taka.
Dar es salaam hakuna viwanda vilivyo karibu na barabara?
 
Mwanza ni kati ya majiji yanayoongoza kuwa na miundo mbinu mbovu
Barabara ya kuingia katikati ya jiji ni majanga ukianzia maeneo ya nyegezi kona mpaka maeneo ya sahara ni mashimo ya kufa mtu.
Barabara ni finyu sana na viwanda viko too close na barabara
Ukianzia Pepsi mpaka maeneo ya posta ni balaa, gari ikipata hitilafu hata njia za kuchepukia hakuna.
Viroba vya taka kila mahali nasikia walikua na mgogoro na kampuni yenye kandarasi ya kuzoa taka.
Pugu road viwanda viko mbali na barabara?
 
Atajiua kwa mshangao.....tena bora asiende Mbeya ajipeleke tu Bukoba au Kigoma kwanza, mshangao atakaoupata kule ndiyo mwisho wa maisha yake.
hahaaa mbeya nzima nimezunguka palipo nishawishi kidogo ni kabwe tu huko kwingine big no...in short huwezi itambua hali ngumu ya maisha waliyonayo watanzania kama ukiwa nimtu akuishi dar tu pasipo kutoka na kwenda mikoani
 
Back
Top Bottom