Nipo Mwanza, haijanivutia kabisa

Nipo Mwanza, haijanivutia kabisa

Namshauri tu asishangae mashimo ktk jiji la
Mwanza, kutojijali ni tabia yetu.

Umemsifia mkuu wa mkoa wa Dar es salaam labda kwa mengine shuhudia mashimo ya kutisha ya barabara katikati ya jiji DTV ROUND ABOUT kuelekea JAMHURI STREET ni hatareeee.

Pale ROUND ABOUT unaweza kufuga SANGARA usiagize tena toka MWANZA wengine wanaweza elezea MAKORONGO kwa uzoefu wao.
 
Kama unaishangaa mwanza kuwa jiji siku ukifika mbeya itakuwaje?
atashangaa unaona bango la karibu mbeya jiji kule nanenane jeshini , kisha utasuburi kuingia jiji mpaka utakapo kutana na bango la karibu tena mbeya hapo kule chini mbaliizi,ndo utajua mbeya ni mbea

ingawa kwa kujengwa vijumba amazing papo kam huko thay, porini nk
 
atashangaa unaona bango la karibu mbeya jiji kule nanenane jeshini , kisha utasuburi kuingia jiji mpaka utakapo kutana na bango la karibu tena mbeya hapo kule chini mbaliizi,ndo utajua mbeya ni mbea

ingawa kwa kujengwa vijumba amazing papo kam huko thay, porini nk
Umetisha
 
Huyu jamaa anaongea kama amekatika kichwa, nyegezi ni sehemu gani kuna mashimo? Acha kudanganya umma,

chief ile barabara ambayo gari za buhongwa zinaingia kuchukua abiria wa nyegezi stand ina mashimo balaa nahisi haupo mwanza kwa muda mrefu,stendi ya nyegezi ina mashimo ya hatari
 
hahaaa mbeya nzima nimezunguka palipo nishawishi kidogo ni kabwe tu huko kwingine big no...in short huwezi itambua hali ngumu ya maisha waliyonayo watanzania kama ukiwa nimtu akuishi dar tu pasipo kutoka na kwenda mikoani


Sasa mara kumi ya Mbeya ila Kigoma ndo mwisho wa mshangao. Waha waliojaa Dar lugha ndefu kujifanya wajanja kumbe kwao ni zero gravity.....shida kweli kweli.
 
Sasa mara kumi ya Mbeya ila Kigoma ndo mwisho wa mshangao. Waha waliojaa Dar lugha ndefu kujifanya wajanja kumbe kwao ni zero gravity.....shida kweli kweli.
LA laaa laaa huko ndio usiseme kabisaa ...huko kama vile pamesuswa na taifa
 
LA laaa laaa huko ndio usiseme kabisaa ...huko kama vile pamesuswa na taifa


Ulishaona enheeee, Kigoma shida kweli...sijuwi Zitto anawasadia vipi watu wake, yaani hawajielewi na wako hovyo mno. Pengine ndiyo maana wanaendekeza sana uchawi kwa kukosa la kufanya.
 
Ulishaona enheeee, Kigoma shida kweli...sijuwi Zitto anawasadia vipi watu wake, yaani hawajielewi na wako hovyo mno. Pengine ndiyo maana wanaendekeza sana uchawi kwa kukosa la kufanya.
kumbe wajua kuwa kule kuna uchawi eeehhh daaahhh kuna uchawi wakutisha mnooo ...zito hawezi kumudu idadi kubwa ya wajinga waliopo kule ..ili waweze kutoka katika hilo tabaka laujinga kigoma inahitaji kuwa na kina zito zaidi ya 10
 
Concept yake ni kwamba kafika Mwanza ameyataja mengi ambayo hata mimi niliyaona nilipofika Dar kama uchafu,Stand ya ovyo ya mikoani kama Ubungo,Mbagala rangi tatu pia kuhusu uchafu ndio usiseme
 
kumbe wajua kuwa kule kuna uchawi eeehhh daaahhh kuna uchawi wakutisha mnooo ...zito hawezi kumudu idadi kubwa ya wajinga waliopo kule ..ili waweze kutoka katika hilo tabaka laujinga kigoma inahitaji kuwa na kina zito zaidi ya 10


Kumi tu, mbona unawadharau ndugu zetu? Kigoma inahitaji watu dizaini ya Lipumba kama milioni hivi zaidi.
 
Ulitaka Mwanza iwe kama Dubai au Adiss Ababa!!
Wacha kulazimisha mvuto, Mwanza haina hips itakuvutiaje? kama hujavutiwa panda Dar Lux rud panapokuvutia
 
Muulize mwandishi kwa nini alitaja muda kwenye makala yake? Members wanatumia muda kama ku-cross check ukweli wa kilichoandikwa.
saa yake kaiandika kiswahilinila anataka tuisome kizungu ni saa saba usiku
 
chief ile barabara ambayo gari za buhongwa zinaingia kuchukua abiria wa nyegezi stand ina mashimo balaa nahisi haupo mwanza kwa muda mrefu,stendi ya nyegezi ina mashimo ya hatari
Uongo mtupu, mashimo ni kwenye daladala zinapopita pale stand lakini kule kwenye destination ya mabasi hakuna mashimo. Kama huijui Mwanza ukae kimya
 
Uongo mtupu, mashimo ni kwenye daladala zinapopita pale stand lakini kule kwenye destination ya mabasi hakuna mashimo. Kama huijui Mwanza ukae kimya

umekiri mashimo yapo sasa sijui ulitaka kujibu nn?....stendi ya nyegezi ina mashimo haijalishi nje au ndani na huo ndio ukweli full stop
 
Back
Top Bottom