stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,226
- 5,150
Kutoka dar, tena hilo lilichelewa sana
Hakuna bus la kutoka dar likaingia mwanza saa 1 magharibi wadanganye wasiofahamu
Ma bus ya arusha na moshi ndio mida yao hio magharibi hadi saa 2 usiku
Ma bus ya dar yakiwahi saaaaana ni saa5 usiku ndio yanafika mwanza
Mida ya magharibi yanakuwa Nzega

