Nipo Mwanza, haijanivutia kabisa

Nipo Mwanza, haijanivutia kabisa

Acha kuiponda mwanza yangu ww dah ......yaan mwanza ni mbaya hebu tuombe radhi maana mji uko poa sana mkuuu
kama hujawahi kuizunguka dunia lazima uione kuwa ni nzuri ...handsome wakijiji huwa huwa ana geuka kuwa shamba boy pindi afikapo mjini
 
Hilo basi lililala njiani?maana hakuna basi linalotaka Dar na kuingia muda huo Mwanza.Ni lazima kulala Nzega au Shy.
Msibishane na huyu yaweza kuwa hayupo mwanza tuliyopo sisi utoke dar hadi huku ufike sa moja labda amepanda bas linalopaa hewan
 
Kama nimeweza ishi dar miaka yote bas naweza ishi mji wowote tz kumanin.a,,..yaan mi nje ya dar naonaga ni machakan tuu,hahahah hata useme wap,nmeish arusha,mwanza,tanga,mbeya ,iringa kootr huko naona machakan na ndomana hata bei ya mdudu huko kotr iko chin tofaut na dar,..dar mdudu bila elf12 hujala ila huko kwenu had jero mdudu unakula
ni
 
Naona Vijana wanaotoka JIJI la mwanza mnavyorusha Mitusi na kejeli. Ila msisahau baada ya maneno meengi ukweli upo pale pale Mkoa lilipo jiji ni Mkoa fukara zaidi tanzania licha ya kubebwa kwa kila hali na serikali na ikumbukwe kwamba Mwanza ingestahili kuwa mbali zaidi kwa kuwa ni center ya kanda ya ziwa yote lakini kinyume chake imesalia kuwa center ya umasikini wa kanda ya ziwa. Kwa taarifa tu Kanda ya ziwa ni kanda ya kwanza kuwa na mikoa mingi zaidi masikini Tz kwa maana nyingine kanda hii ndio kanda masikini zaidi nchi hii. MATUSI yanadhihirisha ubovu wenu wa kuchambua hoja. POVU RUKSA!!
 
Niko mwanza kweli kaka ulichokiongea, jiji la mwanza sasa hivi linazidi kupunguza kiwango kabsa.


Nimeingia Mwanza Jumapili nikitokea Kahama na Frester.

Ni mara ya kwanza kufika Mwanza... Nilifika saa 3 kasoro hivi Usiku

#1. Nyegezi nilikutana na giza... Hakuna muonekano wa stendi kuu

#2. Mwanza ni chafu kila mahala.... Kituo cha Sahari kiko hovyo n.k.

#3. Mwanza haina muonekamo wa Jiji.

Nimeondoka leo kurudi zangu Kahama...
 
Naona Vijana wanaotoka JIJI la mwanza mnavyorusha Mitusi na kejeli. Ila msisahau baada ya maneno meengi ukweli upo pale pale Mkoa lilipo jiji ni Mkoa fukara zaidi tanzania licha ya kubebwa kwa kila hali na serikali na ikumbukwe kwamba Mwanza ingestahili kuwa mbali zaidi kwa kuwa ni center ya kanda ya ziwa yote lakini kinyume chake imesalia kuwa center ya umasikini wa kanda ya ziwa. Kwa taarifa tu Kanda ya ziwa ni kanda ya kwanza kuwa na mikoa mingi zaidi masikini Tz kwa maana nyingine kanda hii ndio kanda masikini zaidi nchi hii. MATUSI yanadhihirisha ubovu wenu wa kuchambua hoja. POVU RUKSA!!
Wapi umetukanwa?
 
Nimeingia Mwanza Jumapili nikitokea Kahama na Frester.

Ni mara ya kwanza kufika Mwanza... Nilifika saa 3 kasoro hivi Usiku

#1. Nyegezi nilikutana na giza... Hakuna muonekano wa stendi kuu

#2. Mwanza ni chafu kila mahala.... Kituo cha Sahari kiko hovyo n.k.

#3. Mwanza haina muonekamo wa Jiji.

Nimeondoka leo kurudi zangu Kahama...
Unaweza kunipa tofauti ya muonekano kati ya Nyegezi stand na Ubungo?
 
hahaaa mbeya nzima nimezunguka palipo nishawishi kidogo ni kabwe tu huko kwingine big no...in short huwezi itambua hali ngumu ya maisha waliyonayo watanzania kama ukiwa nimtu akuishi dar tu pasipo kutoka na kwenda mikoani
Kabwe kwenyewe hovyo tu,
 
Nimeingia Mwanza Jumapili nikitokea Kahama na Frester.

Ni mara ya kwanza kufika Mwanza... Nilifika saa 3 kasoro hivi Usiku

#1. Nyegezi nilikutana na giza... Hakuna muonekano wa stendi kuu

#2. Mwanza ni chafu kila mahala.... Kituo cha Sahari kiko hovyo n.k.

#3. Mwanza haina muonekamo wa Jiji.

Nimeondoka leo kurudi zangu Kahama...
Vp Kahama bado mnachunga Ng'ombe,Mbuzi,Kondoo pale katikati ya mji?

Hivi hapo Kahama mmeshapata Ghorofa hata 1 yenye Lift afu mnataka mfanye kama Mbeya?
 
Kama nimeweza ishi dar miaka yote bas naweza ishi mji wowote tz kumanin.a,,..yaan mi nje ya dar naonaga ni machakan tuu,hahahah hata useme wap,nmeish arusha,mwanza,tanga,mbeya ,iringa kootr huko naona machakan na ndomana hata bei ya mdudu huko kotr iko chin tofaut na dar,..dar mdudu bila elf12 hujala ila huko kwenu had jero mdudu unakula
ni
 
Habari zenu wadau
Ni siku yangu Ya pili hapa Rock City (Mwanza) kama inavyo julikana na wengi

Kwa wale wanao tamani kufika mwanza ambalo lisha tunukiwa sifa ya jiji miaka kadhaa sasa lakini jina hilo haliendani na sifa ambayo inapewa

Saa yangu inaonyesha ni saa 1:23 usiku ndani ya dar lux tunaingia mwanza, moyo unashtuka baada ya kuambiwa Nyegezi stand ndo mwisho wa safari, wakimaanisha tusha fika mwanza

Ni giza kila sehemu stand ya nyegezi kama dampo jamaaaani hakuna taa barabara imejaamashimo, taa za barabarani haziwaki

Tunatoka nyegezi twaelekea Nata ambako ndio mwisho wa gari jamaaaani city centre mashimo, viroba vya taka vimetupwa katikati ya barabara

Hiyo ndio mwanza unayo isikia
Pana pambazuka asubuh najiandaa kwa ajili ya mishe ilo nifikisha uuuuuwiiiiii daladala zimechoka, na zinajaza balaa, vituo havieleweki kama vile hakuna mkandarasi wa jiji
Je mkuu wa mkoa hayupo au hajifunzi kutoka kwa Makonda
Papai bichi wewe, rudi kwenu
 
Acha uongo.Tuache na mza yetu,ukimaliza yaliyokuleta sepa.Mza tangu lini basi lifike saa 1:23 usiku? Utakuwa ulitokea KIGOMA sio bure.
Samahan mkuuu. N mza au mwanza??? Dizain kama sjakuelewa
 
mkuu mbona avatar ni jengo la pale mwanza... au ndio baniani mbaya ila kiatu chake dawa
 
Watu wqnatafuta uongo wake

Kutoka mwanza to dar unafika saa saba usiku kama mkishindwa kutoboa bas mnafika kesho asubuh yake

Huyu chalii wa chuga anatuzuga hata mwanza hakujui kaisoma tu kwenye magazet ya shigongo
Kwani kasema anatokea Dar?
 
Wewe ndo una matatizo mkuu, sio sisi watz wote. REASON; hii inaitwa "impeachment of credibility of witness' evidence".

Ndo maana ukiwa mashaidi utakutana na maswali km balozi wa eneo lako anaitwa nani? n.k lakini kesi ni kumgonga kwa pikipiki na kumuumizi msafiri kwa miguu.

Basi gani ya kufika Mwz sa 1 jion (19hra) tokea jiji la Makonda?? Huoni kuna rise doubts??
ni wapi kasema katoka na basi la Dar?
 
Back
Top Bottom