RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,877
- 5,444
Nyie ndio mlikuwa manafeli mkiambia muweke vichwa vya habari kwenye Hadithi za Somo la Kiswahili....Muulize mwandishi kwa nini alitaja muda kwenye makala yake? Members wanatumia muda kama ku-cross check ukweli wa kilichoandikwa.