Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
nunua yote mawili tu.
mkuu nakushauri ununue basi mbili, huku Mbagala tunashida sana ya usafiri, chenji ikibaki nunua bajaji ya kutembelea ina save mafuta sana..
We Tedo wewe ndo nini sasa?? Watu tumezisubiria hizo bajaj only to find out zimeisha!! Mwe! Wakati wengine wanawaza kubahatisha bajaj na Tigo, wengine wanashindwa kuamua wanunue mtumba upi wa nguvu. Maisha haya ama kweli hayafanani. Wahenga walijisemea 'jikune mkono wako unapofikia' sijui ndo hivo walivosema....?
Kwa hiyo Land Cruiser ni ndoa ya Kiislam?? Umenifurahisha sana tehe tehe.Land Cruiser ndo mpango Range rover ni ndoa ya kikristo
Hahahaaaa!!! True....Usife moyo. Society like an engine has no redundant parts each one of us from the mightiest to the least has a part to play in the grand scheme of events that constitute life.
Samahani tungule hapo fungu mia tatu
Up the tomatoes!
Fikiria upatikanaji wa spea na mafundi likikuharibikia popote.
Range Rover ni mgogoro. Landcruser spea nyingi na mafundi wanaoziwezea zikileta za kuleta wengi wengi mno hadi uswahilini wapo.
JF RAHA SANA KUNA MTU ALIKUWA ANATAKA USHAURI WA KUFANYA wa pesa ya 250m,jana kuna mwingne alikuwa na 300m anataka ushauri,leo mtu anataka ushauri anunue vx(80m) au range(120m) du haya namimi ngoja nije na yangu any biznes idea kwa mtaji wa 20m
why would u divorce if ur HAPPY,SATISFIED with ur wife???Thats RR maan,once u drive it u'll never go back to toyota.....
Usha wasikia mabilionea wa Arusha?JF RAHA SANA KUNA MTU ALIKUWA ANATAKA USHAURI WA KUFANYA wa pesa ya 250m,jana kuna mwingne alikuwa na 300m anataka ushauri,leo mtu anataka ushauri anunue vx(80m) au range(120m) du haya namimi ngoja nije na yangu any biznes idea kwa mtaji wa 20m
nunua yote mawili tu.
aisee preta namshukuru mungu nilishawai kumiliki jamaa mwenye range katika ujana wangu na mimi nitakuwa na cha kusimulia bana...nilikuwa nikipanda pale nacheka njia nzima hi hihiiimi naomba ukisha nunua kati ya hizo.....unipe tu ride....sijawahi kupanda yoyote.....natamani sana........