Ninunue Range Rover sport au Land Cruiser VX?

Ninunue Range Rover sport au Land Cruiser VX?

Nunua hii kitu mkuu

uploadfromtaptalk1380388545188.jpg
 
Afadhali umesema hujaendesha Range Rover.....

Kuna TDV6 engine cc 2700, TDV6 cc 3000; hizi zina fuel consumption bora kuliko Land Cruiser...

BTW kama unaanza kuuliza range rover inakula mafuta vipi basi obviously thats not ur car!

TDV6 2700CC INAKUPA 10KM/L..........TDV6 CC3000 INAKUPA 8.5KM/L
Umefafanua vizuri sana.

All in ALL huwezi kutaka kununua gari expensive halafu unaanza kuangalia fuel consumption.

Unapoendesha gari kubwa ina maana mafuta sio ishu kwako. laa sivyo nunua NOAH au bajaji, hizo hazili mafuta hata kidogo.

Watu wanaogopa tu, lakini Range TDV6 hazitumii mafuta sana, mimi nina suzuki grand vitara 2.0 petrol huwa natumia hela nyingi kwenye suzuki kuliko range kwenye mafuta.

Kwa upande wa starehe, Range ndio gari haya mengine ni majina tu.,
Toyota is ugly na kubwa mno, haliko as comfortable as Range, kwa kifupi Range ni habari nyingine.....

Ila kwa barabara mbovu Toyota ni kiboko
 
Mkuu hii hapa fo seli!!!!
View attachment 114221


Anayehitaji aniPM, mie narudi kijijini!

...Ndinga Limetulia! Haya ndio Madude ya Kifamilia Ninayopenda Haya! Baba, Mama na watoto watano mnakaa Comfortable humo na, haoooo.....Arusha Fasta!!!:clap2:.....Ah, Ni hizo Hela tu Mkuu ndio Zinagomba...:A S-cry:
 
Mmezungumza yoooote lakini mi kwangu Landrover 109 pickup a.k.a TINDO a.k.a MANDOLINI. ndio chaguo langu mileleee.
 
Duh!kwel maisha yanatofautiana,wakati wengne hatuna hata baiskeli,nyie wenzetu mnawaza kununua mikoko ya ukweli kama hyo?
 
Gari mbili tofauti sana, VX inabidi uifananishe na Range Rover ile kubwa hapo ndo unaleta maana. Ningekushauri VX kwa sababu ya reliability yake, Range ina matatizo ya quality.

im sure u dont know what ur talking about......
 
mkuu nakushauri ununue basi mbili, huku Mbagala tunashida sana ya usafiri, chenji ikibaki nunua bajaji ya kutembelea ina save mafuta sana..

Nilikuwa nafikiria ku comment kuhusu fuel guzzling effect.

Ukienda sehemu kwenye watu walio evolve katika social responsibility uka park mi gari ambayo inatumia mafuta in a way that is not environmentally friendly watu wanaweza kulipiga graffiti gari lako.

Kibongobongo bado tunashabikia ufahari wa migari inayotumia mafuta vibaya.

Not thinking about the environment, the future, the legacy we are leaving our children, the planet.

Of course hela mpya haiwezi kujua hayo.
 
Mkuu E52 ukitaka gari ya uhakika nunua Landcruiser.
Hebu vinjari barabarani na uone kama Range za mwaka Juzi tu zipo barabarani., Range zinaharibika san na mafundi wake si wengi
Ni beep na ninayo moja nauza, ni bomba sana tena Diesel Turbo charged, bei maelewano.
Mi nimeenda shamba na "kilimo kwanza".

hebu acha sound wewe....range za mwaka juzi hamna barabarani???kwa taarifa yako RR za 2013 hazifiki hata 25 mjini hapa....zilizojaa ni mwaka juzi mpaka 1987!!!!....anyway pigia debe Land Cruiser yako lakini unanishangaza wakati uko mjini unatumia gari ya shamba,sasa unaenda shamba unaicha[unaiuza]mjini nenda nayo huko ndio kwake it wont look out of place.
 
Ila usifikiri kuwa gharama kuendeshea bali la lenyewe ni mtaji tosha tena sio wa kitoto
 
ok ok ok kaka angu mpendwa me ni mdogo wako sana nilishawahi kumiliki range ila duuuh labda upate jipya labda ila iyo vx nakuomba ununue tena haraka sana maana ni gari amabayo inavumilia shida sana na endapo utanunua ranger nunu 2.5DT ambalo ulaji wake wa mafuta kama vitz na ukishakuwa nalo inabidi ununue na ka gari kadogo kama gx1oo au carina
 
Nilikuwa nafikiria ku comment kuhusu fuel guzzling effect.

Ukienda sehemu kwenye watu walio evolve katika social responsibility uka park mi gari ambayo inatumia mafuta in a way that is not environmentally friendly watu wanaweza kulipiga graffiti gari lako.

Kibongobongo bado tunashabikia ufahari wa migari inayotumia mafuta vibaya.

Not thinking about the environment, the future, the legacy we are leaving our children, the planet.

Of course hela mpya haiwezi kujua hayo.
Ni wapi huko ambako hawatumii gass guzzlers?
 
Nilikuwa nafikiria ku comment kuhusu fuel guzzling effect.

Ukienda sehemu kwenye watu walio evolve katika social responsibility uka park mi gari ambayo inatumia mafuta in a way that is not environmentally friendly watu wanaweza kulipiga graffiti gari lako.

Kibongobongo bado tunashabikia ufahari wa migari inayotumia mafuta vibaya.

Not thinking about the environment, the future, the legacy we are leaving our children, the planet.

Of course hela mpya haiwezi kujua hayo.

Mkuu wewe ishi huko uliko kwa standards za huko za the common man.
Huku bongo hayo unaita gas guzzlers na enviromentaly unfriendly ni hadithi za abunuasi.
Yako mangapi anyway huku bongo?
Wengi tunao globe trot tunajua unahili wa mtu wa kawaida wa uko majuu na ni kwa vile amebanwa na kipato , matumizi na hata fursa,
That is living in a straight jacket.
Haya madude, ndiyo ni expensive lakini yape economical returns na ndio utaelewa.
Ukilitunza unakaa nalo for ten years or more bila matatizo huku ukipiga tripu zako za Mbinga, Mtwara na Tarime bila wasiwasi.
Sehemu hizohizo nenda na Corola au gari la aina hiyo na uone litakaa miezi mingapi katika barabara zetu.

Ofcourse sitetei eztravagance ya idara nyingine za serikali ambapo makatibu wakuu wanashindana kunua the latest VX kila mwaka.
Hayo madue yako built to last.
 
JF RAHA SANA KUNA MTU ALIKUWA ANATAKA USHAURI WA KUFANYA wa pesa ya 250m,jana kuna mwingne alikuwa na 300m anataka ushauri,leo mtu anataka ushauri anunue vx(80m) au range(120m) du haya namimi ngoja nije na yangu any biznes idea kwa mtaji wa 20m
Ahahahahahahaha kwahiyo JF hamna maskini?
 
Back
Top Bottom