Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
unacheza na range kaka leo tutalala hapa hapa
wacha majelous wewe! kakope pride ununue hata toyo..mwanaume usafiri jua linachoma sana mjini hapa!Ni rahisi sana kuandika kwenye Keybord,,,utakuta hata IST hana
ngoja nimtumie pm nimtumie number yangu ya simu!Naomba ukinunua unipe lifti ili tulibikiri wote.
Ukimaliza na mimi nakuja na yangu ya 1b.....si unajua toto za Chugga pesa kwetu si mawazo.........
unacheza na range kaka leo tutalala hapa hapa
wacha majelous wewe! kakope pride ununue hata toyo..mwanaume usafiri jua linachoma sana mjini hapa!
ahahaaa kumbe unajua source za magari ya wadada mujini eeh hapo hapoNikope vipi jasho langu nimenunua kaAltezza changu kanitoa mjini we si unasubiri kununuliwa na Mume wa mtu,,,thread ya kutunga kabisa hii!!
Hivi lile dili lako la kuinunua Ngurdoto lilifeli?
D..D..D..Duuuuuuuuh!!Naomba ukinunua unipe lifti ili tulibikiri wote.
ahahaaa kumbe unajua source za magari ya wadada mujini eeh hapo hapo
We Tedo wewe ndo nini sasa?? Watu tumezisubiria hizo bajaj only to find out zimeisha!! Mwe! Wakati wengine wanawaza kubahatisha bajaj na Tigo, wengine wanashindwa kuamua wanunue mtumba upi wa nguvu. Maisha haya ama kweli hayafanani. Wahenga walijisemea 'jikune mkono wako unapofikia' sijui ndo hivo walivosema....?
Juzi niliona insurance ya fire and allied perils ya Ngurdoto sum insured ya majengo ni 23b.
Hahahaaa. Smile kumbe mwanamke akimiliki mume mwenye range rover automatic na yeye atakuwa kamiliki hiyo range rover. Nshakumbuka. Ni sawa na wanaume wanaopima VVU kupitia wake zao!!!aisee preta namshukuru mungu nilishawai kumiliki jamaa mwenye range katika ujana wangu na mimi nitakuwa na cha kusimulia bana...nilikuwa nikipanda pale nacheka njia nzima hi hihiii![]()