Ninunue Range Rover sport au Land Cruiser VX?

Ninunue Range Rover sport au Land Cruiser VX?

Hahahaaa. Smile kumbe mwanamke akimiliki mume mwenye range rover automatic na yeye atakuwa kamiliki hiyo range rover. Nshakumbuka. Ni sawa na wanaume wanaopima VVU kupitia wake zao!!!
ahahaaaa si mnakuwa kitu kimoja jamani
 
mi naomba ukisha nunua kati ya hizo.....unipe tu ride....sijawahi kupanda yoyote.....natamani sana........

nitafute mama ninayo Range,nitakupa ofa nikuzungushe viwanja vyote mjn kwa wknd moja
 
nunua range bwana...halafu unitafute pls ...maisha ni haya haya wallah tena

kuna mtu aliniambia.....akiwa na appointment na mtu.....ya kula bata.......huyo mtu akaja na bodaboda.....anamuacha.....can you imagine.....watu wabaya Smile......
 
Last edited by a moderator:
kuna mtu aliniambia.....akiwa na appointment na mtu.....ya kula bata.......huyo mtu akaja na bodaboda.....anamuacha.....can you imagine.....watu wabaya Smile......

Prera nakutafuta...nina toyo ujue
 
Last edited by a moderator:
Mkuu E52 ukitaka gari ya uhakika nunua Landcruiser.
Hebu vinjari barabarani na uone kama Range za mwaka Juzi tu zipo barabarani., Range zinaharibika san na mafundi wake si wengi
Ni beep na ninayo moja nauza, ni bomba sana tena Diesel Turbo charged, bei maelewano.
Mi nimeenda shamba na "kilimo kwanza".


Dah, Mkuu Wewe ni Mkali! Haishangazi basi Kuwa unaMkonvisi mwana aibuke na LCruiser!...Kweli Mjini Shule!!:smiling::smiling:
 
Last edited by a moderator:
mjini wanasema Range Rover ni foreign car. ila VX na Range zote zipo juu.
 
kuna mtu aliniambia.....akiwa na appointment na mtu.....ya kula bata.......huyo mtu akaja na bodaboda.....anamuacha.....can you imagine.....watu wabaya Smile......
wewe utapanda?
 
aisee preta namshukuru mungu nilishawai kumiliki jamaa mwenye range katika ujana wangu na mimi nitakuwa na cha kusimulia bana...nilikuwa nikipanda pale nacheka njia nzima hi hihiii
1184914_414057895381126_358831059_n.jpg

Kifaa Landcruiser bana!
Kwnye highway sawa, porini sawa, ina off-ground clearance kubwa pamoja na comfort+power.
 
Gari mbili tofauti sana, VX inabidi uifananishe na Range Rover ile kubwa hapo ndo unaleta maana. Ningekushauri VX kwa sababu ya reliability yake, Range ina matatizo ya quality.
 
mi naomba ukisha nunua kati ya hizo.....unipe tu ride....sijawahi kupanda yoyote.....natamani sana........

Mhhh Preta unaniangusha bana dah hapa sikubali ngoja nikalikodishe nije nikupe lift bana tukale kuku ngurdoto
 
Last edited by a moderator:
Mkuu chukua land cruese ndiyo poa .spear kibao mtaa hata uswahili bei chepa kinoma.kama upo serous nina land cruese .bei maelewano
 
Chukua land cruese .ni imara na hakuna matatizo kwenye spear na rais kuihuza .kama unaitaji ninayo naiuza.bei makubaliano .cm yangu 0713959290
 
Chukua land cruese .ni imara na hakuna matatizo kwenye spear na rais kuihuza .kama unaitaji ninayo naiuza.bei makubaliano .cm yangu 0713959290

Naona kuna mgongano wa kimaslahi!
 
Back
Top Bottom