The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 1,894
- 5,468
Peace be to you all,
Usiniulize utafiti nimefanya wapi, kwani wewe huna macho ?! Ebo !! Jambo hili liko bayana kabisa.
Tofauti na zamani siku hizi wanawake hawana mvuto wa kike, wengi sura ngumu, zilizokunjamana pia wengi ni shapeless wengi vitambi kama wanaume hata miondoko ni kama wanaume, sauti nazo zimekua ngi ngi nga nga ule unyororo wa sauti za kike kwisha.
Nini chanzo cha haya yote. Yani wanawake wanazidi kua kama wanaume hata kwa tabia, sasa hivi ni kawaida kukuta mwanamke anapeleka mtungi (anakunywa pombe kali) konyagi kavu kavu wakati wote ni mashahidi zamani walikua wanakunywa soda.
siku hizi hata ukimsimamisha mwanamke umtongoze anakukata jicho kavu kama fundi saa, ile kuona kaaibu kuchuma vijani mwanamke akitongozwa hakuna tena, kwanza hata kutongoza hakuna ni kumuita unaelewana location imeisha hiyo.
Hata woga hawana tena, unakuta mwanamke anaangalia movie ya mazombie katoa macho tena anachomekea "hilo likubwa lao silipendi, waliue tu" zamani wanawake walikua waoga.
Nini chanzo cha mabadiliko haya ?
Usiniulize utafiti nimefanya wapi, kwani wewe huna macho ?! Ebo !! Jambo hili liko bayana kabisa.
Tofauti na zamani siku hizi wanawake hawana mvuto wa kike, wengi sura ngumu, zilizokunjamana pia wengi ni shapeless wengi vitambi kama wanaume hata miondoko ni kama wanaume, sauti nazo zimekua ngi ngi nga nga ule unyororo wa sauti za kike kwisha.
Nini chanzo cha haya yote. Yani wanawake wanazidi kua kama wanaume hata kwa tabia, sasa hivi ni kawaida kukuta mwanamke anapeleka mtungi (anakunywa pombe kali) konyagi kavu kavu wakati wote ni mashahidi zamani walikua wanakunywa soda.
siku hizi hata ukimsimamisha mwanamke umtongoze anakukata jicho kavu kama fundi saa, ile kuona kaaibu kuchuma vijani mwanamke akitongozwa hakuna tena, kwanza hata kutongoza hakuna ni kumuita unaelewana location imeisha hiyo.
Hata woga hawana tena, unakuta mwanamke anaangalia movie ya mazombie katoa macho tena anachomekea "hilo likubwa lao silipendi, waliue tu" zamani wanawake walikua waoga.
Nini chanzo cha mabadiliko haya ?