Nini kinasababisha wanawake wengi siku hizi hawana mvuto wa kike, wengi sura ngumu, shapeless wengi vitambi kama wanaume hata miondoko ni kama wanaume

Nyie nyie wanaume ndio mlipambana kuwekaa sheriaa za 50/50 yaan anachokifanya mwanaume na mwanamke akifanyee sawaaa...

Uku tunakoelekeaa wao ndio watakuwa wanalipa mahari watuoe cc wanaume..

N swala la muda tu...
🤣🤣🤣Najikuta kucheka kwa sauti Leo🤣🤣🤣🤣🌝
 
Peace be to you all,

Usiniulize utafiti nimefanya wapi, kwani wewe huna macho ?! Ebo !! Jambo hili liko bayana kabisa.

Tofauti na zamani siku hizi wanawake hawana mvuto wa kike, wengi sura ngumu, zilizokunjamana pia wengi ni shapeless wengi vitambi kama wanaume hata miondoko ni kama wanaume, sauti nazo zimekua ngi ngi nga nga ule unyororo wa sauti za kike kwisha.

Nini chanzo cha haya yote. Yani wanawake wanazidi kua kama wanaume hata kwa tabia, sasa hivi ni kawaida kukuta mwanamke anapeleka mtungi (anakunywa pombe kali) konyagi kavu kavu wakati wote ni mashahidi zamani walikua wanakunywa soda.

siku hizi hata ukimsimamisha mwanamke umtongoze anakukata jicho kavu kama fundi saa, ile kuona kaaibu kuchuma vijani mwanamke akitongozwa hakuna tena, kwanza hata kutongoza hakuna ni kumuita unaelewana location imeisha hiyo.

Hata woga hawana tena, unakuta mwanamke anaangalia movie ya mazombie katoa macho tena anachomekea "hilo likubwa lao silipendi, waliue tu" zamani wanawake walikua waoga.

Nini chanzo cha mabadiliko haya ?
Wanawake wa siku hizi macho juu juu kama madalali wanatega muda wote nani ataingia 18..

Sasa automatic mwili unachange to men shape sababu ya upambanaji wao akili zao inside inaona huyu ni mwanaume kabisa si kwa utafutaji huo..
 
Peace be to you all,

Usiniulize utafiti nimefanya wapi, kwani wewe huna macho ?! Ebo !! Jambo hili liko bayana kabisa.

Tofauti na zamani siku hizi wanawake hawana mvuto wa kike, wengi sura ngumu, zilizokunjamana pia wengi ni shapeless wengi vitambi kama wanaume hata miondoko ni kama wanaume, sauti nazo zimekua ngi ngi nga nga ule unyororo wa sauti za kike kwisha.

Nini chanzo cha haya yote. Yani wanawake wanazidi kua kama wanaume hata kwa tabia, sasa hivi ni kawaida kukuta mwanamke anapeleka mtungi (anakunywa pombe kali) konyagi kavu kavu wakati wote ni mashahidi zamani walikua wanakunywa soda.

siku hizi hata ukimsimamisha mwanamke umtongoze anakukata jicho kavu kama fundi saa, ile kuona kaaibu kuchuma vijani mwanamke akitongozwa hakuna tena, kwanza hata kutongoza hakuna ni kumuita unaelewana location imeisha hiyo.

Hata woga hawana tena, unakuta mwanamke anaangalia movie ya mazombie katoa macho tena anachomekea "hilo likubwa lao silipendi, waliue tu" zamani wanawake walikua waoga.

Nini chanzo cha mabadiliko haya ?
Kuna maeneo umeyasahau kuyagusia mkuu.

Kwenye mechi hawafumbi macho!
Unapiga huku kakukazia macho kukusanifu unavyohangaika kunyemelea "climax".

Na hivi kuna wanaume wanaoliaga wakimtaja na mtume au Mungu kabisa (" ya alah"), kukakamaza sura, kujing'ata meno na kutoa udenda bila control, hapo ndipo ninapoona aibu mimi!

Mwanamke anatakiwa kufumba macho kukupa mwanaume falagha ya kiutendaji ufanye kwa ufanisi.

Ni aibu sana kwa kweli kukuta mwanamke akikukodolea macho kukuona namna unavyofunga bao kihayawani.
 
Peace be to you all,

Usiniulize utafiti nimefanya wapi, kwani wewe huna macho ?! Ebo !! Jambo hili liko bayana kabisa.

Tofauti na zamani siku hizi wanawake hawana mvuto wa kike, wengi sura ngumu, zilizokunjamana pia wengi ni shapeless wengi vitambi kama wanaume hata miondoko ni kama wanaume, sauti nazo zimekua ngi ngi nga nga ule unyororo wa sauti za kike kwisha.

Nini chanzo cha haya yote. Yani wanawake wanazidi kua kama wanaume hata kwa tabia, sasa hivi ni kawaida kukuta mwanamke anapeleka mtungi (anakunywa pombe kali) konyagi kavu kavu wakati wote ni mashahidi zamani walikua wanakunywa soda.

siku hizi hata ukimsimamisha mwanamke umtongoze anakukata jicho kavu kama fundi saa, ile kuona kaaibu kuchuma vijani mwanamke akitongozwa hakuna tena, kwanza hata kutongoza hakuna ni kumuita unaelewana location imeisha hiyo.

Hata woga hawana tena, unakuta mwanamke anaangalia movie ya mazombie katoa macho tena anachomekea "hilo likubwa lao silipendi, waliue tu" zamani wanawake walikua waoga.

Nini chanzo cha mabadiliko haya ?
CHANZO ni Women Empowerment.
 
we unaishi wapi huko
Peace be to you all,

Usiniulize utafiti nimefanya wapi, kwani wewe huna macho ?! Ebo !! Jambo hili liko bayana kabisa.

Tofauti na zamani siku hizi wanawake hawana mvuto wa kike, wengi sura ngumu, zilizokunjamana pia wengi ni shapeless wengi vitambi kama wanaume hata miondoko ni kama wanaume, sauti nazo zimekua ngi ngi nga nga ule unyororo wa sauti za kike kwisha.

Nini chanzo cha haya yote. Yani wanawake wanazidi kua kama wanaume hata kwa tabia, sasa hivi ni kawaida kukuta mwanamke anapeleka mtungi (anakunywa pombe kali) konyagi kavu kavu wakati wote ni mashahidi zamani walikua wanakunywa soda.

siku hizi hata ukimsimamisha mwanamke umtongoze anakukata jicho kavu kama fundi saa, ile kuona kaaibu kuchuma vijani mwanamke akitongozwa hakuna tena, kwanza hata kutongoza hakuna ni kumuita unaelewana location imeisha hiyo.

Hata woga hawana tena, unakuta mwanamke anaangalia movie ya mazombie katoa macho tena anachomekea "hilo likubwa lao silipendi, waliue tu" zamani wanawake walikua waoga.

Nini chanzo cha mabadiliko haya ?
/
 
Back
Top Bottom