Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 10,185
- 7,368
Sasa kama mtu umepata nae watoto kwanini ushindwe kwenda hata kumuona akiumwa kiasi hiki.Duhhh.....
Mbona umeniogopesha wallah...![]()
![]()
Sawa mkuuHiyo ni suggestion umetoa mkuu!
Nachoelewa ni kua ninachangia uzi kama ulivyo!
Ili kuweza angalia credibility ya story zake inabidi ujue historia yake!..Dada aliwahi leta stori ya msaada wa ada mtoto ake amalize chuo kama sikosei!..Anapitia mengi lakini ana moyo mkubwa pia!Naongea hivi kwa kuwa JF kuna wahanga walishajaribu kusaidia lakini mwisho wake kumbe muomba msaada alikuwa anazuga tu..
Kwa hiyo utaulizwa maswali mengi ili watu waweze kuthibitisha hoja yako bila kuwa na wasi wasi wowote.
BarikiwaTayari comrade
Kwani kwenye Post yake kuna sehemu ameandika anataka kukumbatiwa na kupapaswa?Pole sana Mamndenyi kwa mtihani huu.....binafsi sichangii mtu pesa haswa mwanamke, mimi najitolea nafsi yangu tu kukukumbatia na kukupapasa ili nikufariji. Kama uko tayari niambie tukutane wapi, na huyo ex wako simpi pole kwani mlisha achana tayari.
Kwani kwenye Post yake kuna sehemu ameandika anataka kukumbatiwa na kupapaswa?
comment za kijinga hizi!!...hata kama ni free kupost!, huwezi saidia pitaHua sipendi mtu matatizo yake anayafanya ya dunia nzima.
Akiuguliwa,akiumwa,akijamba lazima aseme dunia nzima ijue!
Tuwe tunajikaza kisabuni bwana!
Sidhani kama itafaa kwa sasa.![]()
![]()
![]()
Jamaa katoa offer mbadala tu
Sidhani kama itafaa kwa sasa.
wanaume wa dar wamekutia umaskini?Wakati napita Dar niliibiwa device comrade, hapa heshima imerudi kwa mchango wa kijiji huku Ushirombo......![]()
![]()
![]()
Umeanza lini kumjua mleta mada au kupitia post hii!?...mbona huwa hamjaribu kufanya background cheki vitoto vya siku hizi!?..Si kweli!
Watu wanasema kwa minajili wasaidiwe!
Sio kusema kutoa yaliyo kifuani ili kupata psychological solace na relief!
Mamdenyi katoa vitu hadharani ili mwenye "kuguswa" atoe chochote!
Tatizo langu ni kua,hawasemi straight "wakuu nauguliwa sina hela niongezeeni nimtibu"...wanakuja kinyumenyume!!!
Hili ni jukumu,alikua hajajipanga kulirekebisha,misaada inatafutwa kijanja!
I find it hard when someone uses some third-party language to deceive people to get huruma ya msaada,inaonesha lack of honesty na hypocrisy.Ni ujanja pia maana wanadamu hatupendi mtu aje straight.
This is beyond me!
Ni kweli, wachungaji wengi ni wana saikolojia wazuri sana, muda mwingine huwaponya watu kwa kutumia saikolojia.Ndo umenikumbusha kitu hapa, kuna mdada alikuja kwa ndugu yake (jirani yetu), kujisubiria ili ajifungue. Week nzima ana dalili zote za kujifungua, ila anaenda hospital anakaa then inabidi atolewe coz hamna chochote. Imefika stage ni amechoka hajiwezi kabisa, hali imekuwa mbaya wakasema ngoja wampeleke kwenye maombi. Kufika kanisani Mchungaji akamwambia; "wewe hauna medical complication yoyote wala hujarogwa, kinachokuchelewesha kuzaa ni uchungu ulionao juu ya mzazi mwenzio (kumbe mzazi mwenzie amemtelekeza etc); hamishia huo uchungu wa moyoni uje huku chini, then utajifungua salama". Akaondoka zake kwa amani and yes, usiku wake akajifungua mtoto wake salama salimin. Kwa kweli kadri unavyofunga moyo wako ndivyo na mambo yako yanajifunga hivyo hivyo.
amesema SAE KARIBU NA KWA SUGU ukifika maeneo hayo mpigie simu yake!..Mm sina hela lakni nikisema pole ni zaidi ya pesa makaratasi. Ngoja wachange nami nitakuchangia nauri ya kurudi. Pia nko mbeya nambie sehemu gan mgonjwa yupo maana matapel nao wapo kila kona
ameandika mahali karibia na kwa sugu.itapendeza ukaenda ili Tomaso wa waamini.uyu mama nimegundua asilimia mia hadanganyi na nimechungulia mahali ni kama mama yangu kabisa.shikamoo kwake .duh kwel tunaweza chukuliana poa uku Jf wengine kiumri wametuacha mbaliMm sina hela lakni nikisema pole ni zaidi ya pesa makaratasi. Ngoja wachange nami nitakuchangia nauri ya kurudi. Pia nko mbeya nambie sehemu gan mgonjwa yupo maana matapel nao wapo kila kona
comment za kijinga hizi!!...hata kama ni free kupost!, huwezi saidia pita
Sae ni kwa wakwe zangu mama.Sae jirani na Kwa Mr 2 sugu. Uliza Kwa Siame.