Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,474
Kwahiyo tatizo ni kuomba misaada?ID ya Mamdenyi naifahamu.
Na mimi sio mtoto.Unapogeuka mganga wa kienyeji kupiga ramli ndio unapofeli!
Background check ya nini na anajulikana muomba misaada sio mara ya kwanza!Ni ombaomba kwa lugha rahisi kabisa!
Mtu mwenye tabia ya kuombaomba ni mtu mkwepa majukumu na he/she will never get any respect no matter the ID you have on JF!
Mi nilijua ni tapeli kumbe anaomba acha ujinga leo unacho kesho hauna utakua mgeni wa nani.