Ninauguliwa na baba watoto wangu

Ninauguliwa na baba watoto wangu

Status
Not open for further replies.
Ushimen

Nothing u can tell me kuhusu ID inayoitwa Mamdenyi!

Nipo JF tangu 2009!

Hii ni ID yangu ya pili,niliachana na ya kwanza!

Naona una judge a book by its cover,and thats cute of you!

Una ukubwa gani?

Ukubwa ni kuja kulia shida na kuomba michango kwenye internet?

This is new to me!
Be positive itakusaidia sana kama hauwezi basi ukiona jambo linakukereketa unakaa kimya.

Tulioguswa acha tuchange tukiibiwa ni za kwetu na siku ukiwa na shida andika tukiguswa tutatoa pasipo hata kuchunguza Id yako. Uwe na wakati mwema.
 
Tatizo humu ndani tumechanganyikana na watoto wasio fahamu maana ya neno "ukubwa jalala" na wamekariri ugali wa shkamoo.... mbaya zaidi wakija humu tunawaita kwa heshima "mkuu" then wanataka watupande vichwani... common....



Ushimen

Ukubwa ni kutoa matatizo hadharani ili usaidiwe?

Na sio kuomba msaada wa walao mkopo kwa marafiki au ndugu zako wa maisha utatue matatizo then uje uwarudishie?

Unaona ni sawa kutoa matatizo kwenye "platform" kabisa nchi nzima ione uanze kutumiwa "mpesa"?

Tangu lini ukubwa ni kua ombaomba JF?

This is insane!
 
Kila binadamu ana matatizo!

Kila mtu alishauguza na anauguza!

Shida tumeumbiwa wote!

Tatizo ni pale kuna waliokosa aibu na common decency tu wa kuyashughulikia matatizo yao kama wengine wote humu wanavyofanya.Wanachofanya ni kutunga insha zenye maneno ya kuhuzunisha sana na kuyaweka hadharani jamii iwabebe hayo matatizo.Ni tabia mbaya sana ya kukwepa majukumu!

Walao basi mtu uje kwa uwazi na sio kinafiki nafiki namna hiii.Inaonesha kuna low level of honesty.
Mkuu unaonaje hili wazo lako ukalifungulia uzi ili tujue unacho sema hapa unamanisha
 
Ushimen

Unajua unashangaza sana.

Mtu kaweka matatizo yake hadharani kwenye public sphere!

Kuna watakao sympathize nae na kuna ambao hatuta symphathize nae.

Tatizo huelewi haya mawili.Unadhani kila mtu atakua apologist nae kama wewe ulivyo!

Na elewa ukiweka kitu chochocte hadharani lazima kijadiliwe na hao watu waliopo kwenye hiyo hadhara.Wewe kujifanya watu wajadili utakavyo wewe ndio unaonesha ulivyo mis-informed kabisa!
Bimkubwa kaweka wazi shida yake, na kwa unyenyekevu mkubwa kaomba kusaidiwa na yeyote atakae guswa....
Bahati mbaya sana mme kuja wanao fanana na wewe kwamba mnamuuliza vijimaswali na ama mnampa ushauri, wakati bimkubwa hakuja kuomba ushauri hapa na hajakuja kuhitaji mjadala wa matatizo yake na mzazi mwenzie.....
Ebu toa hela mkuu, hata 2000 is better than nothing.
 
Bimkubwa kaweka wazi shida yake, na kwa unyenyekevu mkubwa kaomba kusaidiwa na yeyote atakae guswa....
Bahati mbaya sana mme kuja wanao fanana na wewe kwamba mnamuuliza vijimaswali na ama mnampa ushauri, wakati bimkubwa hakuja kuomba ushauri hapa na hajakuja kuhitaji mjadala wa matatizo yake na mzazi mwenzie.....
Ebu toa hela mkuu, hata 2000 is better than nothing.



Sitoi

Hii mambo ya watu kukwepa majukumu siisapoti kabisa!

Wote tuna shida sawa kabisa!

Wanadamu hua tunadhani shida zetu binafsi ni kubwa sana zaidi ya za watu wengine kumbe si kweli.Wote tunaumia the same.Tofauti ni level za upayukaji!

Imagine kila member humu atoe matatizo yake kwa kufungua uzi?Kungekua na uzi zaidi ya elfu kumi kwa siku!

Hebu tuache huu upumbavu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom