Ninauguliwa na baba watoto wangu

Ninauguliwa na baba watoto wangu

Status
Not open for further replies.
Haujatimiza hata miezi miwili humu jf, hivyo kaa pembeni utuache wahenga na shida zetu Gademmit shubamit....



Mzee acha ku-judge bila kufikiri!

Hii ni ID yangu ya pili!

Nipo JF tangu 2009!

Nothing you can lecture me on anything,on JF atleast!

Mtu unakuja JF kuomba msaada to some random people kwa kuandika makala?

Tujifunze ku-deal na emergency problems,wote yanatukuta kila siku,kila mtu akiandika humu server za JF zitatosha?

Heri hata uwe honest useme directly kabisa "naomba msaada yamenishinda",nilichoona ni shindano la kuandika insha yenye kuhuzunisha na majonzi zaidi watu waingie huruma,nothing more!
 
Sorry mkuu, unaanzaje kujiua kisa ex anaumwa? Tena mliachana 17yrs ago, alimove on akaoa na watoto juu!! Nadhani ingeleta maana kama anaomba nauli kwa watoto wakamwangalie baba yao lkn yeye! Hell no.

My thought though, no hard feelings
Hakuna shida mkuu ila case ya kujiua kwa wengine haikuwa kwa sababu ya inshu ya mleta ila nililenga kwa wote wanaopitia changamoto ambazo huziona kubwa mpk kukosa njia nyingine ya kutatua mfano kuna wale wanaofeli pepa, kusalitiwa kutaja chache
 
Sorry mkuu, unaanzaje kujiua kisa ex anaumwa? Tena mliachana 17yrs ago, alimove on akaoa na watoto juu!! Nadhani ingeleta maana kama anaomba nauli kwa watoto wakamwangalie baba yao lkn yeye! Hell no.

My thought though, no hard feelings
Mkuu, usipende kujiingiza kwenye migogoro na ujuaji kwenye familia za watu.
Bilashaka haujui yalio wasibu, na pia sisi wahenga huwa tunajua kwamba hata kama mmeachana kwa miaka mingi.... Inakujaga kubadilika na kuwa marafiki kwa kuunganishwa na watoto.
Nadhani upo na shida flani anyway, then uchungu na maumivu yako unayahamishia kwa mleta uzi huu
 
Bimkubwa amesema wazi kabisa kwamba ahitaji kushauriwa juu ya nini afanye kwa mzazi mwenzie huyo, bali yeye ameomba kusaidiwa kile ambacho anaona kinampa msukumo moyoni mwake....
Mkuu, wewe kama una mahasira na mzazi mwenzio basi usihamishie mtazamo wako kwenye huu uzi.
Bimkubwa hajaomba ushauri zaidi ya mchango wako ambao ni muhimu sana kwa haja ya moyo wake.....

Usinipangie cha kuandika. Andika wewe sasa.
 
Mzee acha ku-judge bila kufikiri!

Hii ni ID yangu ya pili!

Nipo JF tangu 2009!

Nothing you can lecture me on anything,on JF atleast!

Mtu unakuja JF kuomba msaada to some random people kwa kuandika makala?

Tujifunze ku-deal na emergency problems,wote yanatukuta kila siku,kila mtu akiandika humu server za JF zitatosha?

Heri hata uwe honest useme directly kabisa "naomba msaada yamenishinda",nilichoona ni shindano la kuandika insha yenye kuhuzunisha na majonzi zaidi watu waingie huruma,nothing more!
Eti ID ya pili...
 
Mkuu, usipende kujiingiza kwenye migogoro na ujuaji kwenye familia za watu.
Bilashaka haujui yalio wasibu, na pia sisi wahenga huwa tunajua kwamba hata kama mmeachana kwa miaka mingi.... Inakujaga kubadilika na kuwa marafiki kwa kuunganishwa na watoto.
Nadhani upo na shida flani anyway, then uchungu na maumivu yako unayahamishia kwa mleta uzi huu
Hahahahahahaha
 
Mkuu, usipende kujiingiza kwenye migogoro na ujuaji kwenye familia za watu.
Bilashaka haujui yalio wasibu, na pia sisi wahenga huwa tunajua kwamba hata kama mmeachana kwa miaka mingi.... Inakujaga kubadilika na kuwa marafiki kwa kuunganishwa na watoto.
Nadhani upo na shida flani anyway, then uchungu na maumivu yako unayahamishia kwa mleta uzi huu


Ushimen

Unajua unashangaza sana.

Mtu kaweka matatizo yake hadharani kwenye public sphere!

Kuna watakao sympathize nae na kuna ambao hatuta symphathize nae.

Tatizo huelewi haya mawili.Unadhani kila mtu atakua apologist nae kama wewe ulivyo!

Na elewa ukiweka kitu chochocte hadharani lazima kijadiliwe na hao watu waliopo kwenye hiyo hadhara.Wewe kujifanya watu wajadili utakavyo wewe ndio unaonesha ulivyo mis-informed kabisa!
 
Mungu akubariki pia kwa moyo wako mkunjufu!! Wanawake wengi huteswa na mapepo na magonjwa mengi kwa sababu ya kuhifadhi uchungu vifuani mwao!! Hongera kwa kushinda Hilo jaribu
Ndo umenikumbusha kitu hapa, kuna mdada alikuja kwa ndugu yake (jirani yetu), kujisubiria ili ajifungue. Week nzima ana dalili zote za kujifungua, ila anaenda hospital anakaa then inabidi atolewe coz hamna chochote. Imefika stage ni amechoka hajiwezi kabisa, hali imekuwa mbaya wakasema ngoja wampeleke kwenye maombi. Kufika kanisani Mchungaji akamwambia; "wewe hauna medical complication yoyote wala hujarogwa, kinachokuchelewesha kuzaa ni uchungu ulionao juu ya mzazi mwenzio (kumbe mzazi mwenzie amemtelekeza etc); hamishia huo uchungu wa moyoni uje huku chini, then utajifungua salama". Akaondoka zake kwa amani and yes, usiku wake akajifungua mtoto wake salama salimin. Kwa kweli kadri unavyofunga moyo wako ndivyo na mambo yako yanajifunga hivyo hivyo.
 
Mkuu, usipende kujiingiza kwenye migogoro na ujuaji kwenye familia za watu.
Bilashaka haujui yalio wasibu, na pia sisi wahenga huwa tunajua kwamba hata kama mmeachana kwa miaka mingi.... Inakujaga kubadilika na kuwa marafiki kwa kuunganishwa na watoto.
Nadhani upo na shida flani anyway, then uchungu na maumivu yako unayahamishia kwa mleta uzi huu
Mkuu huyu kama alivyo sema ana ID mbili basi jua ameona ameshambuliwa na moja kaja na nyingine mpotezee maana waswahili wanasema

Umoja hutimiza lengo kuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom