Ninauguliwa na baba watoto wangu

Ninauguliwa na baba watoto wangu

Status
Not open for further replies.
Mama hebu kuwa na akili komavu. Kama huna pesa za kusafiri huhitaji kuchangiwa ukamuone ex tena usikute ameoa utakuta kebehi huko.

Kama anaongea mpigie simu umpe pole Na muombee Mungu ampende zaidi ili na wewe uolewe wenyewe wanasema 'oa single maza kama mumewe kafa'
Leo umeniangusha Madam, huyu anajenga daraja la kifamilia hasa watoto kuwaunganisha na nduguze wewe hutaki?
Pia anataka asiachiwe deni moyoni endapo huyu x wake ataenda njia ya ulimwengu asibaki na lawama.

Mamndenyi go dadake
 
Mama hebu kuwa na akili komavu. Kama huna pesa za kusafiri huhitaji kuchangiwa ukamuone ex tena usikute ameoa utakuta kebehi huko.

Kama anaongea mpigie simu umpe pole Na muombee Mungu ampende zaidi ili na wewe uolewe wenyewe wanasema 'oa single maza kama mumewe kafa'
Kama haya mandishi yameandikwa na mwanamke anaitwa mama basi mungu anisamehe kwa nili vyo kuwazia
 
EMPATHY!
Mama hebu kuwa na akili komavu. Kama huna pesa za kusafiri huhitaji kuchangiwa ukamuone ex tena usikute ameoa utakuta kebehi huko.

Kama anaongea mpigie simu umpe pole Na muombee Mungu ampende zaidi ili na wewe uolewe wenyewe wanasema 'oa single maza kama mumewe kafa'
 
Salaam sana wana MMU wote;

Nimekuja kwenu rasmi kuleta taarifa hii ya kuuguliwa na bwana ambaye nimezaa naye watoto wangu wote wanne.

Kweli tulifikia mahali kimaisha tukatengana tokea 2001. Kila mmoja akiwa na maisha yake huku nikiwa na changamoto kubwa na kali za kulea watoto ambao ilibidi nibaki nao, hayo kwa sasa tuyaweke pembeni.

Hadi ninavyoandika huu uzi hakuna mtoto hata mmoja ambaye ameshapata kibarua wote wapo kwenye kuhangaika kutafuta kazi.

Ilipofikia mwaka jana mwishoni nikapata taarifa ya kuwa yule bwana niliezaa naye anaumwa, nikajuwa ni homa za kawaida tu.

Leo kaka yake ndo ananipigia simu na kusema kuwa mdogo wake amezidiwa sana na alikuwa amezimia ila kazinduka tena juzi.

Kwangu hiki kitu ni kikubwa nimeshindwa kukibeba.

Kwenu wana jamii kwa upendo wenu ninaomba mnichangie nauli ili niweze kwenda huko Mbeya kumwona huyo mgonjwa. Kama mnavyojua mahali penye ugonjwa mkubwa pia panahitajika hela ya matumizi mengineyo.

Kwa wana jamii wa Mbeya mnaweza kwenda kumuuona nyumbani ni Sae.

Naomba tu msinitukane maana nitalia;
Pole sana Mkuu hivi toke mlivyotengana hukuwa na Mahusiano Mazuri na Familia yako au Familia Yake? Huna Ndugu wa damu wa karibu kabisa mbali na Members wa JF.. Naongea hivi kwa kuwa JF kuna wahanga walishajaribu kusaidia lakini mwisho wake kumbe muomba msaada alikuwa anazuga tu..

Kwa hiyo utaulizwa maswali mengi ili watu waweze kuthibitisha hoja yako bila kuwa na wasi wasi wowote.
 
Leo umeniangusha Madam, huyu anajenga daraja la kifamilia hasa watoto kuwaunganisha na nduguze wewe hutaki?
Pia anataka asiachiwe deni moyoni endapo huyu x wake ataenda njia ya ulimwengu asibaki na lawama.

Mamndenyi go dadake
Siwezi kukufurahisha kila siku. Nimekoment ki great thinker sema umesoma juu juu
 
POLE Mamdenyi, usiende huko Mbeya na hela nyingi maana mgonjwa hatapona kama ni muhimu sana uza vi kuku vyako au ka kirikuu upeleke kwa mgonjwa.
Hivi watanzania tuna tabia gani....
Kama mtu unaona hauna kigezo cha kukidhi maombi ya mleta uzi, nibora ukakuwa kimya kuliko kujiweka kiherehere kwa ushauri wa kipuuzi usio na tija kwa bimkubwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom