Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,346
- 7,169
Inaweza kuwa 50-53.Dada yetu kashaona mengi
Itakuwa anacheza kwenye 45-47
Inaweza kuwa 50-53.Dada yetu kashaona mengi
Itakuwa anacheza kwenye 45-47
Umemfahamu je?Nielejeze na mimi.Hatimaye nmekufahamu huko fb, shikamoo mama na kuanzia leo naacha masihara ya ajabu humu. Nitajitahidi kutuma nitakachoweza.
Ukielewa kilicho andikwa changia usipo elewa pita pembenHua sipendi mtu matatizo yake anayafanya ya dunia nzima.
Akiuguliwa,akiumwa,akijamba lazima aseme dunia nzima ijue!
Tuwe tunajikaza kisabuni bwana!
Haujatimiza hata miezi miwili humu jf, hivyo kaa pembeni utuache wahenga na shida zetu Gademmit shubamit....Hua sipendi mtu matatizo yake anayafanya ya dunia nzima.
Akiuguliwa,akiumwa,akijamba lazima aseme dunia nzima ijue!
Tuwe tunajikaza kisabuni bwana!

Bimkubwa hajaleta mada yenye kuhitaji maswali, na inawezekana anaona fedheha kungania yanayo mzibuaji na wanawe kama wewe....Hv kuuliza ndio ujuaji? Acha kukurupuka
Namba ya bimkubwa ni 0755 557094Pole sana mama, Mungu akupe nguvu ktk hili.
Sae ya Juu au ya chini?maana kuna Sae 2.
Sorry mkuu, unaanzaje kujiua kisa ex anaumwa? Tena mliachana 17yrs ago, alimove on akaoa na watoto juu!! Nadhani ingeleta maana kama anaomba nauli kwa watoto wakamwangalie baba yao lkn yeye! Hell no.Kushare tatizo lako na wenzako na kupata mawazo yao kwa kiasi kikubwa husaidia kupunguza mawazo ambayo mwenye tatizo huwa nayo na hivyo kupunguza hatari ambayo ingetokea iwapo angebaki nalo mwenyewe
Hili la kukomaa kisabuni ndio mwishowe unasikia mtu kajiua aidha kwa kujinyonga au kunywa sumu maana alikaa na tatizo mwenyewe akidhani halina suluhu kumbe angeshare na watu kama alivyofanya mleta mada angepata msaada
Uliyotoa wewe inatosha mkuu, acha wenye maswali tupite hiviBimkubwa hajaleta mada yenye kuhitaji maswali, na inawezekana anaona fedheha kungania yanayo mzibuaji na wanawe kama wewe....
Ebu tuma hela tu mkuu kwa kupitia namba 0755 557094
May God have mercy on you...!Hua sipendi mtu matatizo yake anayafanya ya dunia nzima.
Akiuguliwa,akiumwa,akijamba lazima aseme dunia nzima ijue!
Tuwe tunajikaza kisabuni bwana!
Kuna watu ni bahili hawataki kusaidia wala kuona wengine wanajitokezaHaujatimiza hata miezi miwili humu jf, hivyo kaa pembeni utuache wahenga na shida zetu Gademmit shubamit....![]()
![]()
![]()
Mungu akubariki pia kwa moyo wako mkunjufu!! Wanawake wengi huteswa na mapepo na magonjwa mengi kwa sababu ya kuhifadhi uchungu vifuani mwao!! Hongera kwa kushinda Hilo jaribu
Tumekuelewa mkuu pole sana,bora umesema maana siri siku zote humfanya mtu kutokuwa huru...Asanteni kwa wote mlioguswa na ujumbe wangu huu;
Mungu awabariki tu jamani;
Kuna aliyeuliza kama nilishaingia mahusiano mengine, jibu ni hapana;
nilikuwa na changamoto kubwa ya kusomesha sikuweza tena kuanza mahusiano.
Yupo pia alieuliza why nimekosa nauli, hapa siwezi kusema sana ila kweli
hela ingekuwepo wala nisingekuja huku;
Naomba niweke tu namba yangu kwa ajili
ya hao wapendwa waliouliza huko juu 0755 557094.
Asanteni sana!
Humjui mleta mada weye na ulichoandika unaonesha dhahiri hujasoma post ukaielewaSi kweli!
Watu wanasema kwa minajili wasaidiwe!
Sio kusema kutoa yaliyo kifuani ili kupata psychological solace na relief!
Mamdenyi katoa vitu hadharani ili mwenye "kuguswa" atoe chochote!
Tatizo langu ni kua,hawasemi straight "wakuu nauguliwa sina hela niongezeeni nimtibu"...wanakuja kinyumenyume!!!
Hili ni jukumu,alikua hajajipanga kulirekebisha,misaada inatafutwa kijanja!
I find it hard when someone uses some third-party language to deceive people to get huruma ya msaada,inaonesha lack of honesty na hypocrisy.Ni ujanja pia maana wanadamu hatupendi mtu aje straight.
This is beyond me!
Salaam sana wana MMU wote;
Nimekuja kwenu rasmi kuleta taarifa hii ya kuuguliwa na bwana ambaye nimezaa naye watoto wangu wote wanne.
Kweli tulifikia mahali kimaisha tukatengana tokea 2001. Kila mmoja akiwa na maisha yake huku nikiwa na changamoto kubwa na kali za kulea watoto ambao ilibidi nibaki nao, hayo kwa sasa tuyaweke pembeni.
Hadi ninavyoandika huu uzi hakuna mtoto hata mmoja ambaye ameshapata kibarua wote wapo kwenye kuhangaika kutafuta kazi.
Ilipofikia mwaka jana mwishoni nikapata taarifa ya kuwa yule bwana niliezaa naye anaumwa, nikajuwa ni homa za kawaida tu.
Leo kaka yake ndo ananipigia simu na kusema kuwa mdogo wake amezidiwa sana na alikuwa amezimia ila kazinduka tena juzi.
Kwangu hiki kitu ni kikubwa nimeshindwa kukibeba.
Kwenu wana jamii kwa upendo wenu ninaomba mnichangie nauli ili niweze kwenda huko Mbeya kumwona huyo mgonjwa. Kama mnavyojua mahali penye ugonjwa mkubwa pia panahitajika hela ya matumizi mengineyo.
Kwa wana jamii wa Mbeya mnaweza kwenda kumuuona nyumbani ni Sae.
Naomba tu msinitukane maana nitalia;