Ninauguliwa na baba watoto wangu

Ninauguliwa na baba watoto wangu

Status
Not open for further replies.
Si kweli!

Watu wanasema kwa minajili wasaidiwe!

Sio kusema kutoa yaliyo kifuani ili kupata psychological solace na relief!

Mamdenyi katoa vitu hadharani ili mwenye "kuguswa" atoe chochote!

Tatizo langu ni kua,hawasemi straight "wakuu nauguliwa sina hela niongezeeni nimtibu"...wanakuja kinyumenyume!!!

Hili ni jukumu,alikua hajajipanga kulirekebisha,misaada inatafutwa kijanja!

I find it hard when someone uses some third-party language to deceive people to get huruma ya msaada,inaonesha lack of honesty na hypocrisy.Ni ujanja pia maana wanadamu hatupendi mtu aje straight.

This is beyond me!
Kwa 50+ days zenye umekaa humu, hazija kutosha kumfahamu @Mamdenyi...... Hivyo kaa chini wakubwa tujadili mambo ya msingi na wewe endelea kujifunza na uijue jf na watu wake mujarab
 
Ndo umenikumbusha kitu hapa, kuna mdada alikuja kwa ndugu yake (jirani yetu), kujisubiria ili ajifungue. Week nzima ana dalili zote za kujifungua, ila anaenda hospital anakaa then inabidi atolewe coz hamna chochote. Imefika stage ni amechoka hajiwezi kabisa, hali imekuwa mbaya wakasema ngoja wampeleke kwenye maombi. Kufika kanisani Mchungaji akamwambia; "wewe hauna medical complication yoyote wala hujarogwa, kinachokuchelewesha kuzaa ni uchungu ulionao juu ya mzazi mwenzio (kumbe mzazi mwenzie amemtelekeza etc); hamishia huo uchungu wa moyoni uje huku chini, then utajifungua salama". Akaondoka zake kwa amani and yes, usiku wake akajifungua mtoto wake salama salimin. Kwa kweli kadri unavyofunga moyo wako ndivyo na mambo yako yanajifunga hivyo hivyo.
Yeah ni kweli. Wanawake wanatunza sana machungu vifuani mwao

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Mzee acha ku-judge bila kufikiri!

Hii ni ID yangu ya pili!

Nipo JF tangu 2009!

Nothing you can lecture me on anything,on JF atleast!

Mtu unakuja JF kuomba msaada to some random people kwa kuandika makala?

Tujifunze ku-deal na emergency problems,wote yanatukuta kila siku,kila mtu akiandika humu server za JF zitatosha?

Heri hata uwe honest useme directly kabisa "naomba msaada yamenishinda",nilichoona ni shindano la kuandika insha yenye kuhuzunisha na majonzi zaidi watu waingie huruma,nothing more!
Naomba nikupuuze tafadhali....
 
Kwa 50+ days zenye umekaa humu, hazija kutosha kumfahamu @Mamdenyi...... Hivyo kaa chini wakubwa tujadili mambo ya msingi na wewe endelea kujifunza na uijue jf na watu wake mujarab


Ushimen

Nothing u can tell me kuhusu ID inayoitwa Mamdenyi!

Nipo JF tangu 2009!

Hii ni ID yangu ya pili,niliachana na ya kwanza!

Naona una judge a book by its cover,and thats cute of you!

Una ukubwa gani?

Ukubwa ni kuja kulia shida na kuomba michango kwenye internet?

This is new to me!
 
Unataka umoja gani?

Umoja kutoka kwa some random internet people u even do not know in person?

I see!
Mkuu we fanya unacho weza kukielewa

Ila huwezi kuelewa wanacho fanya wengine

Hapo najua na wewe una matatizo yako sasa unatafuta pa kupunguzia hasira

Mapito ya mwanadamu hayawezi kufanana maana kila mmoja na pito lake

Nikuombe kitu mkuu ukijua jambo lina kukela jitahidi ulifungulie uzi ili lijadiliwe kuliko kuja kukashifu wengine
 
Mkuu we fanya unacho weza kukielewa

Ila huwezi kuelewa wanacho fanya wengine

Hapo najua na wewe una matatizo yako sasa unatafuta pa kupunguzia hasira

Mapito ya mwanadamu hayawezi kufanana maana kila mmoja na pito lake

Nikuombe kitu mkuu ukijua jambo lina kukela jitahidi ulifungulie uzi ili lijadiliwe kuliko kuja kukashifu wengine



Kila binadamu ana matatizo!

Kila mtu alishauguza na anauguza!

Shida tumeumbiwa wote!

Tatizo ni pale kuna waliokosa aibu na common decency tu wa kuyashughulikia matatizo yao kama wengine wote humu wanavyofanya.Wanachofanya ni kutunga insha zenye maneno ya kuhuzunisha sana na kuyaweka hadharani jamii iwabebe hayo matatizo.Ni tabia mbaya sana ya kukwepa majukumu!

Walao basi mtu uje kwa uwazi na sio kinafiki nafiki namna hiii.Inaonesha kuna low level of honesty.
 
Tatizo humu ndani tumechanganyikana na watoto wasio fahamu maana ya neno "ukubwa jalala" na wamekariri ugali wa shkamoo.... mbaya zaidi wakija humu tunawaita kwa heshima "mkuu" then wanataka watupande vichwani... common....
Muache tena si umeshajua ni mtoto? Au na wewe unaendelea kuwa mtoto?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom