cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,696
Taratibu za zama za mawe zinakufutwa mapenzi ni win situation sio kutesana mtu mzima wa viungo wataka kumgeuza mwenzako msukule?Sidhani kama ni uslave balii ni utaratibu wetu kila jamiii ina mila na desturi zake...so kwa sisi wafrika taratibu ndio ziko hivyo mkuu